Hotels za Tanga acheni huu upuuzi, mnatia kichefuchefu

Hotels za Tanga acheni huu upuuzi, mnatia kichefuchefu

Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?

Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?

Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
80,000. 120,000 tanga beach resort na mkonge hotels unalala fresh tu na hizo mambo hazipo... we umelala kajamba nani tu acha kutupanga
 
Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?

Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?

Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Uwe unampa receptionist.
 
80,000. 120,000 tanga beach resort na mkonge hotels unalala fresh tu na hizo mambo hazipo... we umelala kajamba nani tu acha kutupanga
Daaah nliambiwa kuwa wanawake wa Tanga watanichamba nikabisa. Siwezi bishana nanyi. Siwezi kabisa.
 
Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?

Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?

Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Hizo ni Guest House za elfu 20 ndiko ulikofikia na si kwenye hotel!
 
Kwani kuna watu wanaiba hata ndala?
Niliona mtu anaweka kwenye begi vile vishuka abiria wanapewa halafu hukusanywa kabla ya kumaliza safari kwenye baadhi ya mashirika ya ndege.

Hata mataulo ya hotel nashasikia watu wakisema baadhi ya wateja hubeba.
 
Niliona mtu anaweka kwenye begi vile vishuka abiria wanapewa halafu hukusanywa kabla ya kumaliza safari kwenye baadhi ya mashirika ya ndege.

Hata mataulo ya hotel nashasikia watu wakisema baadhi ya wateja hubeba.
Ni roho za kimaskini na kibinafsi.
 
Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?

Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?

Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Kwa Tanga Mzee umedanganya Hakuna Hotel inayofanya hivyo..

Maana Tanga napafahamu vizuri na hotel nyingi ninafikia hapo..
Maybe ungesema Lodge na Guest
 
Kwa Tanga Mzee umedanganya Hakuna Hotel inayofanya hivyo..

Maana Tanga napafahamu vizuri na hotel nyingi ninafikia hapo..
Maybe ungesema Lodge na Guest
Daaah nliambiwa kuwa wanawake wa Tanga watanichamba nikabisa. Siwezi bishana nanyi. Siwezi kabisa.
 
Daaah nliambiwa kuwa wanawake wa Tanga watanichamba nikabisa. Siwezi bishana nanyi. Siwezi kabisa.
Hapana mimi sio mtu wa huko ila mara nyingi nikiwa naenda huko hutumia Hotel za huko na semina nyingi nimefanya huko pia..Nimeenda huko Mara nyingi sana Na hakuna unachosema..
 
Hapana mimi sio mtu wa huko ila mara nyingi nikiwa naenda huko hutumia Hotel za huko na semina nyingi nimefanya huko pia..Nimeenda huko Mara nyingi sana Na hakuna unachosema..
Heeeh... Mbona mwandiko wako ndo wenyewe kabisa? Hata kutembea kwako?
 
Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?

Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?

Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Nafkiri umeongeza sifuri kwenye hizo bei
 
Kwani zile huwa ni reusable?
Sasa utakuta umewekewa pcs kadhaa, umetumia moja tu, unabeba nyingine unapeleka wapi? na hapa nazungumzia zile hotel nyota kadhaa ambapo vikolombwezo vinakuwa vingi.
 
Back
Top Bottom