Una maana 8,000 na 12,000 au 80,000 na 120,000?Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
Tanzania swala la marketing na Thinking level unaweza kudhani hakuna Binadamu😂😂😂Mwezi mmoja uliopita nilifikia Hotel flani ya kipato cha chini tu ya tsh 80,000 per night. Nikakuta kandambili wamezikata eti mteja asije akaondoka nazo. Nikawaza sana. Yaani mteja anayelipa tsh 80,000 per night aondoke na kandambili za tsh 3,000? Kweli?
Leo nimefikia Hotel nyingine ipo sehemu tulivu karibu na ******* nakuta wameweka kandambili bafuni moja ya Blue nyingine nyekundu. Nikaona hawa watu hawapo serious. Yaani nimelipa tsh 120,000 waniwekee aina hii ya kandambili?
Acheni huu upuuzi bwana. Mnatia kichefu chefu na hizo kandambili zenu.
HahahaKuna mama mmoja alikua Naibu Waziri huko CCM alikua anaiba hadi taulo za hotelini. CCM imelewa wizi umekita mizizi.
Ndo maana nawewe unazitamani ndala za watu.
mswahili haaminiki anaweza toa 120 afu akaiba ndala ya 2500 ili aipeleke kwa mganga ili aongeze utajiriMkuu,
Hicho kitu hakipo, ulipe 120k ukute ndala zimekatwa.
Ni vile tu wengi hupitia depression wanajaribu kutafuta relief.
Showel gel, tooth brush, tooth paste kuondoka navyo ni sawa. Vile haviwezi kuwa reused. Hivi ni sawaLakini kwani uongo? kuna wenzetu huwa wanaondoka na sabuni, shower gel, tooth paste n.k wabongo usiwaamini sana.
Buku ndo nini junior? Akina jr huwa mnadeka sanaKalala lodge za buku 8 na 12 analeta uzushi.
Nmejitahidi kutumia lugha nyepesi kila mtu aweze kuelewa.Una maana 8,000 na 12,000 au 80,000 na 120,000?
Rau hukoWabongo hawaaminiki, wakati tunasoma tukiingia mgahawani tulikuwa tunaondoka na vikombe na spoon.
Ok. Nakuelewa. But ni woga tu mnakuwa nao kwetu sisi wanaume. Huo muda tunatoa wapi? Tunakuja tupo busy hata muda wa kuwaza mademu hatuna. Mnajishtukia tu.
NYie watanga tunawaogopa sana.Umefika room upo busy huna muda wa kuwaza madem ila muda wa kuwaza kuhusu kanda 2 unao?
Ni wahudumu wa hizo hotel ndo huiba hizo ndala na hao hao huiba na kobazi msikitini.Kwani kuna watu wanaiba hata ndala?
Kuna watu kuiba ni hobby yao.Wakikosa cha kuiba wanajiibia wenyewe. Tunatofautiana.Yaani mtu alipe above 50,000 tsh aibe ndala? Si rahisi.
Nazani❌Hotel hizo nazani wanatoa short time ndo maana wanafanya hivyo
Bora Umwambie.Mzee ulilala guest house za 7,000/= halaf wakakupiga 80k per night??????????.
Pole sanaa