Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Halafu uteuzi sio kipimo cha utendajiRais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.
Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.
Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania
Siongei na wahutuKwahiyo hapa unapinga au?
Mataga ntaambia nini watu mimi
Hahahaha... Umeshageuka mara hii???Napingaje sasa?
Sisi ccm tunaridhia wapinzani wapewe vyeo waache kulia lia
Umoja wa kitaifa ni muhimu!
Tukisema hakuna upinzani Tanzania…maana yake ndo hiyo sasa!Subiri tuone mkuu tunawangoja!
Naona kina mmawia wanademka kweli hapa!
🤣Hahahaaaa..... Si umeona ACT wazalendo walivyotulizwa Zanzibar!
Kuna muda vyama sio jambo la msingi sana endapo kutakua na uhuru na mawazo huru ya hao walioteuliwa kuruhusiwa kutumia bongo zao sawasawa kwa maslahi ya nchi.Vyama vya upinzani vinakuja kwasababu ya watu kutaka mawazo mbadala na uwezi kua na mawazo mbadala yakasikika au kutekelezeka ukiwa mtu binafsi bila kupia chama.Hao walioteuliwa uko nyuma inawezekana kuna mapungufu yaliyowabana wakashindwa kudeliver kile ambacho kilitazamiwa kwahiyo inawezeksna namba moja atakuja na mwarubaini wa wote wanaopata hizo nafasi kuziwajibikia nasio kuishia kufanya sherehe badala ya kazi.Sioni jipya hapa.
JPM aliwateua akina Kitila Mkumbo, David Kafulila,Wilbroad Slaa, Julius Mtatiro na Anna Mghwila wakiwa upinzani ! Issue ni kuwa ukishateuliwa inabidi ukubali kutekeleza ilani ya CCM, na hapo ndipo ulipo ugumu kwa vyama vya upinzani; ni ugumu huo unaowalizimisha wateule kuhama vyama baada ya kuteuliwa.
Maendeleo hayana vyama. Au unajifanya hukusikia kwa sababu usemi ulisemwa na marehemu Magufuli. Duh sasa kamanda unaunga juhudi hivi hivi? Unachekesha.Kwaheri Magufuli Shujaa wa Mazezeta
Umesahau waziri mkuu alidanganya taifa kuwa marehemu dikiteta magufuli tu bukheri na afya njema, kumbe tayari alikuwa keshang'ata shuka?Lisu muongo sana afai kuwa mwanasheria,alisema kuna TISS kafa kwa Corona kumbe ni uwongo mtupu.
Wengine wote ambao ni Watanzania wasio na asili ya Afrika/weusi.....Wazungu.
..Waarabu.
..Wahindi.
Kama hujaona tofauti ya mama na magu kwenye hili basi utakua bado unaweweseka ndugu.kajifukize huo ujinga ukupungue.Sijui wanachishangilia Hawa bavicha ni nini, maana hata magu aliwateua kitila mkumbo, Anna mghwira
Jiwe tumemkanaje?Hahahaha... Umeshageuka mara hii???
Wapinzani hawacheleweshi tena maendeleo?
Nilisema ni suala la muda tu mutamkana Jiwe na siasa zake. Hata miezi 2 haijaisha Umeshamgeuka Mwendazake.
Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.
Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.
Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania
..zaidi ya wahindi, waarabu, na wazungu, kuna wakina nani wengine?Wengine wote ambao ni Watanzania wasio na asili ya Afrika/weusi...
Lumumba itakuwa na hali ganiKama hujaona tofauti ya mama na magu kwenye hili basi utakua bado unaweweseka ndugu.kajifukize huo ujinga ukupungue.
Leo unapata tabu, [emoji23][emoji23][emoji23]Siongei na wahutu
Nawasubiri kwa hamu sana hawa ndugu zangu kina BAKHahahaaaa..... Si umeona ACT wazalendo walivyotulizwa Zanzibar!
BAK atakuwa DC wa Namtumbo Ruvuma!Nawasubiri kwa hamu sana hawa ndugu zangu kina BAK
Tuzo ya utawala bora ya MO IBRAHIM atakuja kubeba asubuhi tu!Nilicheka sana aliposema jana au juzi, “Mnanitukana sana mitandaoni” halafu hakutoa vitisho vya kuwakamata watu. Akitulia huyu anaweza akafanya mambo makubwa sana kwa nchi yetu na akawa ni kioo cha uongozi si kwa Tanzania na Afrika tu bali dunia nzima.