Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Halafu uteuzi sio kipimo cha utendaji
 
Napingaje sasa?

Sisi ccm tunaridhia wapinzani wapewe vyeo waache kulia lia
Hahahaha... Umeshageuka mara hii???
Wapinzani hawacheleweshi tena maendeleo?

Nilisema ni suala la muda tu mutamkana Jiwe na siasa zake. Hata miezi 2 haijaisha Umeshamgeuka Mwendazake.
 
Kuna muda vyama sio jambo la msingi sana endapo kutakua na uhuru na mawazo huru ya hao walioteuliwa kuruhusiwa kutumia bongo zao sawasawa kwa maslahi ya nchi.Vyama vya upinzani vinakuja kwasababu ya watu kutaka mawazo mbadala na uwezi kua na mawazo mbadala yakasikika au kutekelezeka ukiwa mtu binafsi bila kupia chama.Hao walioteuliwa uko nyuma inawezekana kuna mapungufu yaliyowabana wakashindwa kudeliver kile ambacho kilitazamiwa kwahiyo inawezeksna namba moja atakuja na mwarubaini wa wote wanaopata hizo nafasi kuziwajibikia nasio kuishia kufanya sherehe badala ya kazi.
 
Lisu muongo sana afai kuwa mwanasheria,alisema kuna TISS kafa kwa Corona kumbe ni uwongo mtupu.
Umesahau waziri mkuu alidanganya taifa kuwa marehemu dikiteta magufuli tu bukheri na afya njema, kumbe tayari alikuwa keshang'ata shuka?
 
Hahahaha... Umeshageuka mara hii???
Wapinzani hawacheleweshi tena maendeleo?

Nilisema ni suala la muda tu mutamkana Jiwe na siasa zake. Hata miezi 2 haijaisha Umeshamgeuka Mwendazake.
Jiwe tumemkanaje?

Slaa, Mgwira, Kitila, Mtatiro, Kafulila wote hao waliteuliwa na jiwe enzi zake..
 


Gharama za kuprint haya mabango si za lazima, yanatumika kwa dakika tu na kupoteza milions of coins
 
Tuzo ya utawala bora ya MO IBRAHIM atakuja kubeba asubuhi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…