Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sasa hivi Waitara akibugi tu anarudi kwao kupika supu ya makongoroWahamiaji wa kununuliwa hakuna tena maana akiwahitaji atawatafuta maenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi Waitara akibugi tu anarudi kwao kupika supu ya makongoroWahamiaji wa kununuliwa hakuna tena maana akiwahitaji atawatafuta maenyewe.
Bahati yako ulistuka mapema kujitoa kwenye list ya matagaUmoja wa kitaifa ni muhimu!
Bila katiba mpya hakuna issue hapoRais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.
Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.
Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania
Huyu tangu jiwe aondoke ameslimuKwani na wewe ni mpinzani?
Huu ushauri Mama nilimpa hapahapa Jukwaani naona huwa anapitia JF yaani.
Mkuu mbona zitto umempigia kura mapema sana?au ni poti wako?[emoji23][emoji23][emoji23]Bado matakwa yetu Watanzania ya kutaka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi yako pale pale. Hii danganya toto haisitishi matakwa hayo. Zitto ameula Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. [emoji12][emoji12]
Mataga kwiiiishaaaaaaaaaaaaa niliwaambia kupitia jukwaaaa hili hili kuwa habari za jiwe sasa ndiyo basi tena.Lisu sasa arudi aje apewe kakazi kama akivyoahidiwa na hayati
Sijakuelewa mkuu unamaanisha nini?Atafunga wote pale chamani
Kuna mwanga unaonekanaTunakoelekea Mama ataipatia Tanzania Katiba Mpya. Trust Me
Umlipatia mataga hilo naona leo hayatapata usingizi kwa maumivuNenda kwenye kaburi la Jiwe then jipige kifuani ukilia ukisema"Kayafa ulitulisha ujinga na upumbavu"
Mkuu mbona zitto umempigia kura mapema sana?au ni poti wako?[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mbona kitambo ?Bwashee umekuwa Sigara kali
Na anaweza akamuweka Lissu kuwa champion wa upatikanaji wake.Tunakoelekea Mama ataipatia Tanzania Katiba Mpya. Trust Me