Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Mama anapoteza maboya,anataka kutuaminisha kwamba anairudisha Nchi kwenye Misingi ya Demokrasia.
 
Hamtalalamika kweli? Maana magu alimteua anna mghwira mkaanza kulialia
 
Mataga kwiiiishaaaaaaaaaaaaa niliwaambia kupitia jukwaaaa hili hili kuwa habari za jiwe sasa ndiyo basi tena.
Mwambie lisu aachane na amsterdam arudi huku rais ampe kazi ya kufanya.

Hata lema pia mwambie habari ya kuishi ugenini haifai
 
Jambo zuri

Lakini asidhani kuwa hii itapoza hitajio letu la kutaka katiba mpya!

Najua Wanasiasa wanaotaka katiba mpya wakipewa vyeo watanyuti, lakini sisi wananchi tunataka KATIBA MPYA
Hiyo ni muhimu kama kupiga mswaki asubuhi
 
Mama nakuona kweli umedhamiria kuliunganisha taifa na kuleta maendeleo ya kweli. Nimesikiliza hotuba yako kwa wazee wa Dar es salaam nimeipenda mno, nakushauri kama itakupendeza muite Tundu Lissu na umteue awe mwanasheria mkuu wa serikali. Pia mimi niteue niwe CAG.
Umeharibu uzi wako hapo uliposema akuteue wewe uwe CAG
 
Nasubiri ule Mkutano wa Mama na Chadema tuirudishe Nchi kwenye Mstari
jath.gif
 
Mataga mjiandae kisaikolojia....NA VILE MNATEGEMEA MAKALIO KUFIKIRI,NA ULIMI KUSIFU NA KUABUDU, MSITEGEMEE TEUZI KABISA..HAPA NI UWEZO TUUU
Hili ndilo la msingi kuliko mengine. Akitimiza ahadi yake kweli basi tutegemee mabadiliko makubwa kwenye siasa za nchi yetu. Atakuwa amekaribisha ushindani na siyo unafiki.
 
Lisu muongo sana afai kuwa mwanasheria,alisema kuna TISS kafa kwa Corona kumbe ni uwongo mtupu.
 
Nilicheka sana aliposema jana au juzi, “Mnanitukana sana mitandaoni” halafu hakutoa vitisho vya kuwakamata watu. Akitulia huyu anaweza akafanya mambo makubwa sana kwa nchi yetu na akawa ni kioo cha uongozi si kwa Tanzania na Afrika tu bali dunia nzima.
Angekuwa jiwe tayari watu wangesha lizwa
 
Back
Top Bottom