imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Tulizeni mshono si juzi tu hapa mlikuwa mnasema auwawe.Mwambie lisu aachane na amsterdam arudi huku rais ampe kazi ya kufanya.
Hata lema pia mwambie habari ya kuishi ugenini haifai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulizeni mshono si juzi tu hapa mlikuwa mnasema auwawe.Mwambie lisu aachane na amsterdam arudi huku rais ampe kazi ya kufanya.
Hata lema pia mwambie habari ya kuishi ugenini haifai
Sijui wanachishangilia Hawa bavicha ni nini, maana hata magu aliwateua kitila mkumbo, Anna mghwiraKwa kipi sasa? Mwambie Lisu arudi tumpangie kazi!
Wenye nchi tumesema
Hapana mkuu sijaharibu. Mimi pia ni mtanzania na uwezo na taaluma ninayo. Wewe pia kama uwezo unao haina shida. Hii nchi ni yetu sote.Umeharibu uzi wako hapo uliposema akuteue wewe uwe CAG
Unataka ndani ya mwezi mmoja abadilishe kila kitu? Wewe ungeweza? Mbona watu wa siku hizi mnakosa subira sana?Bado matakwa yetu Watanzania ya kutaka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi yako pale pale. Hii danganya toto haisitishi matakwa hayo. Zitto ameula Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. [emoji12][emoji12]
Malalamiko ya Katiba iliyopo kuvunjwa yalikuwa mengi na hakuna kijana aliyetoka kuitetea hadharani, ikija Katiba mpya ikivunjwa mtaweza kuilinda na kuitetea hadharani?Itakuwa jambo la maana sana ikiwa itapatikana kabla ya 2025 na itokane na rasimu ya Tume ya Warioba. Kinyume cha hapo ni usanii tu.
Lisu sasa arudi aje apewe kakazi kama akivyoahidiwa na hayati
Kwa hilo tutakuwa tumepata mtu.... Maana CCM walidhatufikisha pabaya. Yaani hata Ukurugenzi lazima apewe Kada.Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.
Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.
Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania
Zzk ni mchunguliaji wa fursa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana asee huyo jamaa ni msaliti mkubwa ila nimeona tangu mama aingie amekuwa akijikomba komba kwa nama yetu.
Kwani Mkuu una CV ya mtoa mada had I useme ameharibu kujitaja jina? Huwezi jua labda maisha kuwa Msaidizi wa Assad na Kichere.Umeharibu uzi wako hapo uliposema akuteue wewe uwe CAG
Unataka ndani ya mwezi mmoja abadilishe kila kitu? Wewe ungeweza? Mbona watu wa siku hizi mnakosa subira sana?
Leo unatakiwa kupatiwa mtu wa kukulinda maana unaweza kujitia kitanzi kwa hasira.Safi kabisa kama akina Mghwira, Silinde ,Katambi, Kitila Mkumbo etc.
NB. Mama usimwingize kabisa mzee wa miga mtetea ushoga Lisu
Hawa jamaa nadhani bado hawajamuelewa mama ila kadri siku zinavyosonga watamuelewa. Mama kadhamiria kutuvusha kwa vitendo na si kwa maneno matupu.Unafaa wewe,Kipindi kile cha Katiba Binge zima lilikaa kimya kimsikiliza Lissu mpaka usiku halafu wewe useme hafai?
Sorry computer yangu sasa hivi ina matatizo fulani hivi, inakwenda slow sana minapotumia Mozilla. Umeandika wakati nikiwa bado naedit post ile, ila nilichotaka kusema ni kuwa viongozi wa upinzani wakubali kuwa wanapoteuliwa serikalini basi wajue wanakwenda kutekeleza ahadi ambazo walioko madarakani waliaambia wananchi wakati wa uchaguzi. Ukiwa upinzani na ukateuliwa haina maana kuwa unakuja kutekeleza sera za upinzani. Kwa bahati mbaya upinzani wetu una kitu kinaitwa "msaliti". Mtu akishateuliwa kuingia serikalini anaonekana kama ni msaliti wa upinzani, jambo linalowafanya wateule waamua kuhama vyama...awateue na waendelee kuwa wapinzani.
..na uteuzi wao utakapokwisha warejee kwenye vyama vyao.
Sasa atakaa kwa amstwrdam mpka liniLissu si wakufanya kazi ndogondogo
Uzalendo wa kuwatetea Acacia ili waendelee kutuibia madini?, Uzalendo wa kutumiwa na mabeberu?Naunga mkono hoja.Lissu Ni mwanasheria nguli, pia lissu ni mzalendo namba moja wa taifa letu.Huyu hatampotosha rais avunje katiba..
Hawezi mzidi wa Sasa, huyu aliyebariki kuapisha covid-19Lisu muongo sana afai kuwa mwanasheria,alisema kuna TISS kafa kwa Corona kumbe ni uwongo mtupu.
Mkuu! Siyo kila mtu anategemea siasa ili aishi kama kina Lisu na Lema!Mnakwenda kufa njaa sasa. Yale maisha ya kuishi kwa kulamba vidonda kama nzi yanaisha. Watu watachaguliwa kwa merit na siyo kwa unafiki na uwezo wa kutukana au kufunga wapinzani.