Hotuba na Ziara za Hayati Magufuli zilikuwa zinafuatilia sana kuliko zile za Mrithi wake

Hotuba na Ziara za Hayati Magufuli zilikuwa zinafuatilia sana kuliko zile za Mrithi wake

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Asalaam Aleykum wana JF.
Nawapenda sana. Nadondoka kwenye mada moja kwa moja.

Kulingana na utafiti mfupi nilioufanya, nimegundua kwamba Hotuba na ziara za Hayati JPM zilikuwa zinafuatiliwa na kusikilizwa na Watanzania wengi sana. Hii ni tofauti ukija kwa Hotuba na ziara za mrithi wake ambaye anaonekana kutokuwa na mvuto kwa Watanzania wengi hasa hasa kwa wanawake na vijana!

Unaweza kushuhudia hili kupitia kwa maongezi ya Watanzania wengi ambao walionekana kumwelewa zaidi Hayati kutokana na jinsi alivyokuwa anaonekana kuguswa na changamoto zinazowakabili hasa hasa Watanzania wa hali ya chini (aka wanyonge).

Huyu wa sasa hana mvuto kwa wengi kutokana na ile hali ya kuwajali zaidi matajiri na wale wa tabaka la juu kuliko maskini. Fuatilia mitandao ya kijamii, Instagram, YouTube, Facebook n.k, utaona hata idadi ya watazamaji/ wafiatiliaji (viewers) kwa hotuba za mama, ziko chini sana kulinganisha na zile za mtangulizi wake.

Naomba kuweka ushahidi hapa chini (angalia idadi ya "viewers").

Screenshot_20230312-124119_YouTube.jpg
Screenshot_20230312-124114_YouTube.jpg
Screenshot_20230312-124100_YouTube.jpg
Screenshot_20230312-124035_YouTube.jpg
Screenshot_20230312-124023_YouTube.jpg
Screenshot_20230312-124011_YouTube.jpg
 
Asalaam Aleykum wana JF.
Nawapenda sana.
Nadondoka kwenye mada moja kwa moja.
Kulingana na utafiti mfupi nilioufanya, nimegundua kwamba Hotuba na ziara za Hayati JPM zilikuwa zinafuatiliwa na kusikilizwa na Watanzania wengi sana. Hii ni tofauti ukija kwa Hotuba na ziara za mrithi wake ambaye anaonekana kutokuwa na mvuto kwa Watanzania wengi hasa hasa kwa wanawake na vijana!
Unaweza kushuhudia hili kupitia kwa maongezi ya Watanzania wengi ambao walionekana kumwelewa zaidi Hayati kutokana na jinsi alivyokuwa anaonekana kuguswa na changamoto zinazowakabili hasa hasa Watanzania wa hali ya chini (aka wanyonge).
Huyu wa sasa hana mvuto kwa wengi kutokana na ile hali ya kuwajali zaidi matajiri na wale wa tabaka la juu kuliko maskini.
Fuatilia mitandao ya kijamii, Instagram, YouTube, Facebook n.k, utaona hata idadi ya watazamaji/wafiatiliaji (viewers) kwa hotuba za mama, ziko chini sana kulinganisha na zile za mtangulizi wake.
Naomba kuweka ushahidi hapa chini (angalia idadi ya "viewers").
Ni mpumbavu tu kama wewe ndio unaweza kulingamlnisha. Kuna 5 years na 3 days kwenye hizo views zako
 
Jamaa alikuwa ana wakalipia na kuwalazimisha watu wasikilize hotuba zake.

Alisikika mwenye mimba ya chuki ya Mwendazake.
Kwamba hadi leo anawalazimisha akiwa kaburini?! Maana kuna baadhi ya sehemu ukipita ni kawaida kukuta watu wanasikiliza hotuba za Hayati tena kwa utulivu wa hali ya juu. Ukiwauliza kwa nini, wanakwambia Hotuba za Hayati zilikuwa na mvuto sana kwa sababu alikuwa sauti ya wanyonge!
 
Asalaam Aleykum wana JF.
Nawapenda sana.
Nadondoka kwenye mada moja kwa moja.
Kulingana na utafiti mfupi nilioufanya, nimegundua kwamba Hotuba na ziara za Hayati JPM zilikuwa zinafuatiliwa na kusikilizwa na Watanzania wengi sana. Hii ni tofauti ukija kwa Hotuba na ziara za mrithi wake ambaye anaonekana kutokuwa na mvuto kwa Watanzania wengi hasa hasa kwa wanawake na vijana!
Unaweza kushuhudia hili kupitia kwa maongezi ya Watanzania wengi ambao walionekana kumwelewa zaidi Hayati kutokana na jinsi alivyokuwa anaonekana kuguswa na changamoto zinazowakabili hasa hasa Watanzania wa hali ya chini (aka wanyonge).
Huyu wa sasa hana mvuto kwa wengi kutokana na ile hali ya kuwajali zaidi matajiri na wale wa tabaka la juu kuliko maskini.
Fuatilia mitandao ya kijamii, Instagram, YouTube, Facebook n.k, utaona hata idadi ya watazamaji/wafiatiliaji (viewers) kwa hotuba za mama, ziko chini sana kulinganisha na zile za mtangulizi wake.
Naomba kuweka ushahidi hapa chini (angalia idadi ya "viewers").
Hao masikini kipi aliwasaidia?ki uchi,kiafya na kisiasa?zaidi ya kuwaaminisha kuwa unyonge ni sifa?!!
 

Watanzania ni watu wenye chuki, wivu na roho mbaya, wengi walikuwa wakifuatilia sana ziara za Magufuli kwasababu walikuwa na uhakika wa Magufuli kumdhalilisha na kumfuta kazi mtu katika hizo ziara.
 

Watanzania ni watu wenye chuki, wivu na roho mbaya, wengi walikuwa wakifuatilia sana ziara za Magufuli kwasababu walikuwa na uhakika wa Magufuli kumdhalilisha na kumfuta kazi mtu katika hizo ziara.
Siyo kweli!
Unawasingizia
 
Pitia hapa pia
 

Attachments

  • Screenshot_20230312-192641_Chrome.jpg
    Screenshot_20230312-192641_Chrome.jpg
    198.2 KB · Views: 4
Mmmmmh umeuifanyia utafiti wa kutosha hii ripoti yako? maana kuna mambo mengine umeyaeleza ambayo hayaendani na huo uliouita utafiti wako
 
Back
Top Bottom