Hotuba na Ziara za Hayati Magufuli zilikuwa zinafuatilia sana kuliko zile za Mrithi wake



Hata Dikteta Iddi Amini alikuwa anafuatiliwa sana sio Uganda tu bali hata na nchi za nje kutokana na vituko vyake.
 
He was more of a clown rather than a comedian sasa mtu anapiga push up mara anakimbikimbia, Mara anakula mahindi kwenye mkutano wa wananchi, such a guy 😃🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…