kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake. Kwa hotuba Lissu ameshaanza kukomaa.
Bado TU kutueleza ni kwa vipi ataondoa umaskini kwa watanzania na vipi ataboresha elimu, afya, kilimo, uchimbaji, biashara, uvuvi na ufugaji kama chadema ikipewa ridhaa.
Hata Ruto aliimba hayohayo wakati anamshinda raila Odinga.
Bado TU kutueleza ni kwa vipi ataondoa umaskini kwa watanzania na vipi ataboresha elimu, afya, kilimo, uchimbaji, biashara, uvuvi na ufugaji kama chadema ikipewa ridhaa.
Hata Ruto aliimba hayohayo wakati anamshinda raila Odinga.