Hotuba ya Freeman Mbowe kuwaunga mkono Luhaga Mpina, na Wafanyabiashara wa Kariakoo hii hapa

Hotuba ya Freeman Mbowe kuwaunga mkono Luhaga Mpina, na Wafanyabiashara wa Kariakoo hii hapa

Freeman Mbowe anadai serikali imeelemewa na madeni ndiyo maana kodi zimekuwa kubwa.

Kulingana na maelezo yake asilimia 51% ya bajeti ni kwa ajili ya kulipa mikopo ya serikali.

Kutokana na mzigo huo wa madeni serikali inalazimika kuwagandamiza wananchi kwa kodi.

We ulitegemea Mbowe na CHADEMA wataitetea serikali ?
Hao principle yao ni lazima waend against na serikali, hata kama serikali inafanya jamb gan zur lazima wao waene against.
 
Kuwaelewa wapinzani wa nchi hii hadi ujitoe akili kidogo,maana yote wanayoyaongelea maana yake kuielewe hadi uyachukue yale maneno yao harafu utafute kinyume chake ndo upate maana
 
Hivi huyu mchaga alishalipa madeni ya NSSF alipokopa pesa za wastaafu?
Kaongea mambo mazuri, mazito yanayomgusa mwananchi, tatizo ni utapeli wake. Hatuna hakika kama wakipewa wao kuongoza hali haitakuwa mbaya zaidi kuliko ilvyo sasa.
 
😌🧐
Yote Tisa.

Wao CHADEMA wana mbadala gani?

Hivi wana sera ya Uchumi na Biashara kwa kweli?

Soon kitaeleweka.

Chagua kwa Umakini 2025

Kumbuka. CHADEMA haina sera.
 
Freeman Mbowe anadai serikali imeelemewa na madeni ndiyo maana kodi zimekuwa kubwa.

Kulingana na maelezo yake asilimia 51% ya bajeti ni kwa ajili ya kulipa mikopo ya serikali.

Kutokana na mzigo huo wa madeni serikali inalazimika kuwagandamiza wananchi kwa kodi.

Wazee wa matukio kazini. Ccm ikikaa kimya na wao wanakaa kimya mana hakuna cha kuongea
 
Huyo naye asipende kudakia yasiyomhusu. Mambo ya wengine waachiwe wenyewe. Hivi hivi kesho utasikia kapewa nafasi soon there after karudi alikotoka. Hamjifunzi!
 
Tutaruhusu Biashara HURIA Viwanda vya ndani vifanye Biashara ya Ushindani hakuna kubweteka tutahakikisha Sukari inajaa Nchini.
Kiuhalisia Tanzania na nchi nyingi za kiafrika zimekuwa zikifanya Biashara "Huria" enzi kwa enzi.

Kusema kwamba Tanzania ama Afrika hakuna Biashara huria, ni kupotosha umma. Maana ya informal economy ni nini kwa mapana kama sio Biashara Huria? Haijalishi hapa-that aside





Wakati Serikali makini ilikaa na kusema bado tunahitaji kuboresha bidhaa zetu, iilituwe na uwezo wa kukabiliana na bidhaa feki na Cheap kutoka nje-ikiwa na maana nguvu za ujasiriliamali zipewe Mtanzania. Mkalia nchi inafungwa!

Sema CHADEMA hamna sera yeyote ile wala haina mbadala wa kukuza, kupanua n.k wigo la kodi kwa ajili ya Mapato ya Taifa.
 
Kiuhalisia Tanzania na nchi nyingi za kiafrika zimekuwa zikifanya Biashara "Huria" enzi kwa enzi.

Kusema kwamba Tanzania ama Afrika hakuna Biashara huria, ni kupotosha umma. Maana ya informal economy ni nini kwa mapana kama sio Biashara Huria? Haijalishi hapa-that aside





Wakati Serikali makini ilikaa na kusema bado tunahitaji kuboresha bidhaa zetu, iilituwe na uwezo wa kukabiliana na bidhaa feki na Cheap kutoka nje-ikiwa na maana nguvu za ujasiriliamali zipewe Mtanzania. Mkalia nchi inafungwa!

Sema CHADEMA hamna sera yeyote ile wala haina mbadala wa kukuza, kupanua n.k wigo la kodi kwa ajili ya Mapato ya Taifa.
Utakuwa hujawahi kufanya Biashara katika Nchi hii ninyi Watumishi wa Umma hamuwezi kuelewa mateso ya Kodi.

Au hata agiza Mkweche kutoka Japan uone Kodi yake ni zaidi ya hela za manunuzi +Shipping.
 
Utakuwa hujawahi kufanya Biashara katika Nchi hii
Unakwepa hoja zako mwenyewe. Rejea ulichokisema na majibu niliyotoa.
ninyi Watumishi wa Umma hamuwezi kuelewa mateso ya Kodi.
Sio kweli. Biashara nyingi za wachuuzi ni za watumishi wa umma, na zilianza na "Ruksa" Makontena karibia yote nyakati za nyuma zilikuwa za Watumishi wa umma, hata hizi bodaboda tunazoona leo hii ukifuatilia kwa umakini, zilianza na wafanyakazi wa umma-kwa hivyo sio kweli kwamba mateso ya kodi haiwagusi.
Au hata agiza Mkweche kutoka Japan uone Kodi yake ni zaidi ya hela za manunuzi +Shipping.
Sawa. Nyie CHADEMA mna sera zipi. What are your alternatives?
 
Freeman Mbowe anadai serikali imeelemewa na madeni ndiyo maana kodi zimekuwa kubwa.

Kulingana na maelezo yake asilimia 51% ya bajeti ni kwa ajili ya kulipa mikopo ya serikali.

Kutokana na mzigo huo wa madeni serikali inalazimika kuwagandamiza wananchi kwa kodi.

mpina wamchukue tu hana faida kwa ccm aje wampe nafasi ya kugombea u rais atwafaa
 
Back
Top Bottom