Hotuba ya IGP Sirro na mahojiano ya Rais Samia yanaingilia mhimili wa Mahakama?

Hotuba ya IGP Sirro na mahojiano ya Rais Samia yanaingilia mhimili wa Mahakama?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kwa kifupi hawa Waheshimiwa wameshaona hii issue haiko rafiki kwao, wanapoteza pambano mapema! Kwa hiyo wamekubaliana kuwa "waingilie" Uhuru wa Mahakama kwa ku-pre-empty public. Bahati mbaya sana kwa nature ya Mahakama zetu, haziwezi kujisimamia wenyewe.

Kwahio tutegemee hukumu yenye mwelekeo ule ule wa Sirro na SSH hata hivyo napenda kuweka angalizo mapema, huu ndio utakua mwisho wa upinzani halali!

Watu watajenga chuki zaidi, huenda mambo makubwa yakaibuka in recent days.
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Nadhani hii karata imechezwa makusudi kabisa na mama, ikiwa na lengo la kuleta machafuko ya kisiasa. Baada ya hapo Tanganyika itapata uhuru wake kamili na Zanzibar itapata uhuru wake kamili. Focus ya SSH ni kuvunja huu muungano nadhani.
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Mambosasa kwa sasa yuko pande zipi
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.

Kwa hiyo walikamatwa kwa makosa ya ugaidi, wakaachiwa kisha wanakamatwa tena kwa makosa ya ugaidi?
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Freeman aliruhusiwa na RCO Kinondoni kusafiri. Hata uhamiaji Namanga walimruhusu kuvuka baada ya kuthibitisha ruhusa ile, alionekana na Godbless Lema, Nairobi. SAMIA wasaidizi wake hawamuelezi ukweli. Leo wanasema alitoroka. Maneno ya msemaji wa polisi, IGP & Rais yamefanana, WHY?
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Unachekesha sana
 
Swali la Mheshimiwa Heche
Wale waliokua wanasema kwamba labda rais alikua hajui haya yanayoendelea sasa amesema anayajua.. vipi aliweza kumpa pole gaidi alipofiwa na kaka yake? Ugaidi ni hoja ya kidunia kama alikimbilia Kenya alishindwa nini kuongea na mamlaka za Kenya zimkamate huko huko?
 
Kwa kifupi hawa Waheshi-miwa wameshaona hii issue haiko rafiki kwao, wanapoteza pambano mapema! Kwahio wamekubaliana kuwa "waingilie" Uhuru wa Mahakama kwa ku-pre-empty public. Bahati mbaya sana kwa nature ya Mahakama zetu, haziwezi kujisimamia wenyewe.

Kwahio tutegemee hukumu yenye mwelekeo ule ule wa Siro na SSH hata hivyo napenda kuweka ANGALIZO mapema, huu ndio utakua mwisho wa upinzani halali!

Watu watajenga chuki zaidi, huenda mambo makubwa yakaibuka in recent days.
Kama ni maandamano ya watu kupinga ujinga unaoendelea nchini hasa kwa Mweshimiwa Mbowe then perish the thought dude wabongo wakishatishiwa jeshi tu mchezo umeisha.

NB:Mbowe si gaidi.
 
Kama ni maandamano ya watu kupinga ujinga unaoendelea nchini hasa kwa Mweshimiwa Mbowe then perish the thought dude wabongo wakishatishiwa jeshi tu mchezo umeisha.
Maandamano? Hapana eenzi za maandamano mbona zilishapita? Ukisema wabongo, wewe kwani sio mbongo?
 
Rais amezungumza vizuri kweli tena kwa uwazi ulio uwazi kwamba shauri hili sio la leo lilikuwepo na bw yule yule alikuwa analifahamu fika na baadhi ya wahusika wa jambo hili walikuwepo rumande kwa muda mrefu tu kabla bwana yule hajakamatwa isipokuwa bw yule ni intelligent wa kutisha sana ana akili nyingi sana akaona atafanyaje suala hile alipe mlango au mwonekano mwingine wa ki umma zaidi akaingilia kwa kasi ya katiba mpya bahati mbaya kondoo wake hawajui haya au intelegency aliyonayo kiongozi wao katika kuwatumia vyema koondoo wake,

''Rais amesaema mahakama itatupa majawabu sahihi baada ya mahakimu na wanasheria wa pande zote mbili kukabiliana kwa kina na kuja na jawabu moja tuvute subraaaaa
 
Samia kaniuzi sana.. Sikutegemea anaweza kucheza chini ya kiwango hivyo.
Bora dikteta Magufuli alijenga miundombinu. Dikteta Samia hatofanya chochote zaidi ya upuuzi.
Wapuuzi ni wale ambao wanaona mazuri ya kiongozi pale anapokuwa hayupo madarakani.

Tena sio wapuuzi bali ni wapumbavu haswa.
 
Nadhani hii karata imechezwa makusudi kabisa na mama, ikiwa na lengo la kuleta machafuko ya kisiasa. Baada ya hapo Tanganyika itapata uhuru wake kamili na Zanzibar itapata uhuru wake kamili. Focus ya SSH ni kuvunja huu muungano nadhani.
kwa mbali huu ndio mpango wao, watu wachafuane, katiba ya warioba irudi, mambo yaendelee kwa kigezo cha maridhiano
 
Only in Tanzania, yaani mtu vibali vya safari mnampa wenyewe halafu mnasema alitoroka , sasa kama alitoroka alivyomaliza mikutano na kurudi mbona hamkumkamata kwakua alitoroka, kwa nijuavyo mtu akikatazwa kutoka nje ya nchi hata pasport inakuwa mikononi mwa serikali sasa kama alisafiri alitumia pasport ipi kama kitambulisho, maana Viza hakuna huko kenya, na by the way hata huko alikoenda Dubai etc lazima alitumia pasport, wajinga ni wengi sana nchi hii including huyo mama, naanza kuelewa ni kwanini hata kina Mwigulu wanamwendesha kama wanavyotaka, prove me wrong huyu atakuja kuwa even worse kuliko MEKO! Take it
 
Nadhani hii karata imechezwa makusudi kabisa na mama, ikiwa na lengo la kuleta machafuko ya kisiasa. Baada ya hapo Tanganyika itapata uhuru wake kamili na Zanzibar itapata uhuru wake kamili. Focus ya SSH ni kuvunja huu muungano nadhani.
Uvunjwe tu huo muungano wa lazima hatuutaki arudi kwao Zanzibar akatawale
 
Only in Tanzania , yaani mtu vibali vya safari mnampa wenyewe halafu mnasema alitoroka , sasa kama alitoroka alivyomaliza mikutano na kurudi mbona hamkumkamata kwakua alitoroka, kwa nijuavyo mtu akikatazwa kutoka nje ya nchi hata pasport inakuwa mikononi mwa serikali sasa kama alisafiri alitumia pasport ipi kama kitambulisho, maana Viza hakuna huko kenya, na by the way hata huko alikoenda Dubai etc lazima alitumia pasport, wajinga ni wengi sana nchi hii including huyo mama, naanza kuelewa ni kwanini hata kina Mwigulu wanamwendesha kama wanavyotaka, prove me wrong huyu atakuja kuwa even worse kuliko MEKO! Take it
Ndiyo maswali ambayo Kikeke alitakiwa kuuliza na siyo kuishia kupiga picha jengo la Ikulu
 
Back
Top Bottom