Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu sijui kwann wanasiasa wanapenda uchawi?
Hili limama limevuka viwango, ila kibokoo yake Joseph Muhagama, alimnyoosha kweli kweli, hadi kugawana jimboo, famchezo nn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijamdharau ila muda wooote na Hela zoote kashindwa hata kuji update na lugha kidogo...

Kama anashindwa kusoma hivyo ataelewa Nini kwenye mikataba hiyo mikubwa may be on her own behalf, Jaji nawaza tu Kwa sauti [emoji4]
Asomee hizo akili anazo? Huyo umuambie kujipendekeza kwa viongozi ili apate uwazirii, mxxxxiiiieeew zake.
 
Miongoni mwa Mawaziri ambao sijawahi kuwaelewa.... Na sijawahi kumkubali kabisa......[emoji3][emoji3][emoji3]
Waziri ambayee hajawahi kufanya vizuri kwa kila wizara aliyewahi kuwepo.

Aibuu tupuu, hili li mama, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.


View attachment 3081568View attachment 3081569

View attachment 3081570
ukimani bwana hatujawahi kua serious 🤣 mtu kama huyo eti waziri wa afya. elimu kama yangu ya super glue
 
Sina ugeni na huyu mama, ukimuona kanisani pale matogoro, anakaa seat ya mbelee utasema ni malaikaa, kumbe ni shetanii mkubwaaa.

Linakazi ya kuua ndugu zake ili liwepo madarakani, huwezi kulitenganishaa na uchawi, na ulozi, linavyopenda kuwahadaa wazee wamtambikiee.
Linakera na kuboa hili limama, linachefuaa kwani hata kulitazamaa, mxxxiiiiieeeew zake.
nasikia limeungua na linapenda kurubuni vijana wadogo. uchawi nilishawahi kuambiwa ni lishenzi haswa
 
Mama ameidharaulisha hiyo wizara, wizara ya elimu, afya, sheria, fedha huko kumeja maprofesa watupu unampaje mtu wizara ambaye ana vielimu vya hapa na pale, angeenda huko habari na michezo, mazingira nk
Mama Samia kwenye uteuzi wa huyu Jenny kumpeleka Afyaa, Ni amepuyangaa, afu Amepuyangaa tenaa.

Bado hajachelewaa, amtoe hapo, ampelekee kwingineee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nasikia limeungua na linapenda kurubuni vijana wadogo. uchawi nilishawahi kuambiwa ni lishenzi haswa
Kwenye Vijanaa wadogoo, % kubwa ya viongozi wanawake wasiokua na ndoa hizi ndo zao, wanawaunga vijana kwenye grid ya Taifa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana nikasema Siasa uchwara zinagharimu hii nchi na zitaendelea kuligharimu hili Taifa kwa sababu tunaongozwa na watu wasiokuwa na vision, haiwezekani WHO wakaona potential ya Dkt Ndugulile alafu sisi tuone kuwa hawezi kuwa msaada kwetu kwenye taasisi za Afya.
Damn, umenigusa kwakweli, how can we let peoples like ndugulile, na yule dada go halaf tuna appoint career politicians kwneye hizo positions? Its beyond me
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

Hawa ndio viongozi wetu wanao tunga sheria za nchi.
Yaani hata walio soma Cuba na kutoroka shule wak vyema sana.
Imagine ange kuwa haja andikiwa.. Tunge sikia kimatengo hapa
 
Ni upuuzi tu kuhalalisha huu ujinga, hawa ndio wanaosign mikataba ya kutuuza! Acha tuwe na slavery mentality kwa akili yako lkn huyu mama hana uwezo wa kusoma document ya page 600 ya mkataba toka Ulaya akawakilisha maslahi ya nchi. Hafai hata kuwa headmaster ya sekondari ya kutwa! Hata debate ya form 2 hawezi kuchangia huyu
Hizo kazi zinafanywa na wataalamu wa Wizara. Hivi unajua kazi ya Waziri kwenye Wizara? Waziri ana deal na sera zaidi, mtaalamu wa Wizara ni Katibu Mkuu wa Wizara na Wakurungenzi. Kama hujui uliza kuliko kubwabwaja tu kama zuzu!
 
Back
Top Bottom