Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Ila wewe! Umeitafuta wee hadi umeipata!

Ila baye mheshimiwa sijui alikuwa anawaza nini? Kwamba Zimbabwe siyo sovereign state?😃

Halafu na matamshi nayo yamekaa "kikwetukwetu"
1. I wirr exprain
2. Emproyment
3. Gentromen
4. "Elia"
5. Congo DIALASII
6. Majority of Tanzanian
7. Jentromen
8. "Koreges"
N.k.
9.Blundi.

10.Plaimali
 
Chezea mbamba bay. Kalonga na.wakasai kwa mitishamba ndio wenyewe.

Nasikia ukoo wao.wamesoma sana huyu mama dada yake alikuwa director veta sijui.

Unaweza ukasoma zamani na usijue kiingereza hivi?
 
Hivi Kiswahili mtu anaweza kusema "kwa niaba yangu, mimi..."
Hawa ni baadhi ya Mawaziri wanufaika tuu na mfumo with zero potentials.
Prof Mkenda akiongea chochote, hupigwa bit kali na hawa hawa . Sielewi kama Taifa tutatokaje hapa. Nawakambuka Mawaziri nguli wa Wizara ya Afya kina Dr. Starling, Dr. Aaron Chiduo nk ambao waliweka misingi imara hasa mifumo ktk Wizara ya Afya. Sasa tumeanza kuweka wapiga debe . Sijui nchi ingeimarikaje kiafya ingekuwa wale wazee wawili ndo wapo kipindi hiki cha ukuaji teknologia kama AI.
 
Hawa ni baadhi ya Mawaziri wanufaika tuu na mfumo with zero potentials.
Prof Mkenda akiongea chochote, hupigwa bit kali na hawa hawa . Sielewi kama Taifa tutatokaje hapa. Nawakambuka Mawaziri nguli wa Wizara ya Afya kina Dr. Starling, Dr. Aaron Chiduo nk ambao waliweka misingi imara hasa mifumo ktk Wizara ya Afya. Sasa tumeanza kuweka wapiga debe . Sijui nchi ingeimarikaje kiafya ingekuwa wale wazee wawili ndo wapo kipindi hiki cha ukuaji teknologia kama AI.
Siyo kwamba tatizo ni chaka lao ccm... Mle inaonekana wapo wengi sana!
 
Back
Top Bottom