Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hiyo lazima ilikua Google Translation aliandikaiwa na PS usiku kwa kiswahili cha kingoni baadae wakaitafsiri kwa Google Translate 😂😂😂! Ndio maana President ikawa Plezidenti of United Ripabliki of Tanzania 😱😱😱
 
Sikuwahi kujua huyu kiongozi mwandamizi ana uwezo wa kutema ngeli namna hii. Mitano tena
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

PIA SOMA
Oohoo...ohoooo ......mwacheni huyo, inaelekea Hana kosaaa, burebure mwamfatafata......
 
Hili limama limevuka viwango, ila kibokoo yake Joseph Muhagama, alimnyoosha kweli kweli, hadi kugawana jimboo, famchezo nn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Famasihara eti
 
Back
Top Bottom