Huja
Hujaelewa au?Kwahiyo unawatetea wanaosema balabala instead of barabara......au sjaelewa mkuu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa au?Kwahiyo unawatetea wanaosema balabala instead of barabara......au sjaelewa mkuu???
😃😃😃😃😃😃😃🤭🤭🤭Ushauri:
Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville iwekwe kwenye website ya wizara ya Afya Tanzania
Nafikiri Mtanzania anaongea Kiingereza vile Muingireza anaongea Kiswahili. There's no shame on that.Kingereza na Mtanzania ni maadui wakubwa
Nani alishawahi kusema hivyo?Tukumbushie na ile ya South Africa ya kwamba "Tanzania is union of Zimbabwe and Mafia" oh!! No, sorry!! It is Zambia and Pemba
Yaan ulvotoa uo mfano ni as if unawatetea hata wanaotumia l instead of r.....hata hao wanakosea kama madam alvokoseaHuja
Hujaelewa au?
Oohoo...ohoooo ......mwacheni huyo, inaelekea Hana kosaaa, burebure mwamfatafata......Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
PIA SOMA
Kakazana tu MIsta Chea😂
Hili limama limevuka viwango, ila kibokoo yake Joseph Muhagama, alimnyoosha kweli kweli, hadi kugawana jimboo, famchezo nn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu humu jamani!!Angetumia hicho kimatumbi maneno kama Kazi iendelee,anaupiga mwingi yangekuwa yanajirudirudia.Bora english ni kufuli la maneno ya Shombo.
Kuna waziri mmoja wa elimu wakati wa JK alisema hivyo kwenye mkutano wa kimataifa kama sijakosea ilikuwa SANani alishawahi kusema hivyo?
Hakudondoka kwa kicheko?
Waziri wa Elimu aliyepigwa chenga na somo la Uraia?Kuna waziri mmoja wa elimu wakati wa JK alisema hivyo kwenye mkutano wa kimataifa kama sijakosea ilikuwa SA
Waziri wa Elimu aliyepigwa chenga na somo la Uraia?
🥺🥺🥺