Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Mtoa mada kama kweli ulienda shule na ukafundishwa vizuri sarufi na kuelewa huwezi kuja kuanzisha hapa mada ya Aina hii na kuanza kujadili tuache unafiki,matamshi ya l na r hayo ni Matokeo ya lugha mama ya mhusika tukichunguza ya kwako huenda yakawa Makubwa zaidi ya hayo.
Mimi kabila langu ni la Nyanda za Juu kusini na ni kweli hatuna herufi "R".

LAKINI ukihudhuria vizuri madarasa ya shule ya msingi ukasoma na sarufi ya Kiswahili na Fasihi, lazima UELEWE tofauti ya "R" na "L". Usipoelewa wewe basi ni NANGA au KILAZA
 
View attachment 3084734
"Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable😎"

Amesikika Waziri mpya wa Afya akiwa Congo Brazaville akisoma hotuba aliyoandikiwa.

Sielewi akiwa kwenye one on one discussion kwa English atafanyaje.

Ni bora awe anaongea Kiswahili tu, japo hata kwa Kiswahili usipotofutisha "l" na "r" UNABOWA sana wasikilizaji

View attachment 3084748
Yaani nilijisikia aibu sana. Kuna mshiriki mmoja yeye alishikilia tama kama linabomoka. Halafu usione yawezekana aliwaandikia nduguze saa fulani nitakuwa LIVE kumpongeza Ndugulile msikose kuniangalia. Ushamba sana
 
View attachment 3084734
"Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable😎"

Amesikika Waziri mpya wa Afya akiwa Congo Brazaville akisoma hotuba aliyoandikiwa.

Sielewi akiwa kwenye one on one discussion kwa English atafanyaje.

Ni bora awe anaongea Kiswahili tu, japo hata kwa Kiswahili usipotofutisha "l" na "r" UNABOWA sana wasikilizaji

View attachment 3084748
wacha maneno mengi tiwekee vidio tuenjoy
 
Watz tunamind vitu vya kipuuzi sana,
kwenye hotuba tafuta points wala siyo lugha au rafudhi,
Inakusaidia nini mtu kuongea lugha iliyonyooka
lakini ni mwizi wa kura,mla rushwa na kukanyaga haki za watu?
Pale kwenye mkutano wa WHO kuna multimedia interpretation system ya lugha zote kuu za Afrika yaani ; English Language, Portuguese, Kiswahili, French, Spanish na Arabic.

Yeye ange flow kwa KISWAHILI tu, wasikiizaji wangemsikia kwa lugha zao. Ila ni UKIMBUKENI tu wa kutaka watu wa Peramiho wamuone kuwa yuko matawi ya juu
 
Ugonjwa huu ni kama kansa ndani Kiswahili, cha kusikitisha zaidi kuna baadhi ya taasisi kubwa zimewaamini vijana wa namna hii, hadi kuwafanya kuwa wasemaji wao rasmi hadharani. Kuna jambo la kufanya kwa sisi wakereketwa wa lugha hii adhimu ya Kiswahili.

Mzee GANJI KUONA.
 
Screenshot_20240902_111144_Chrome.jpg


Naona wameandika Health-related carrier badala ya career. elimu yenyewe ya mashimo ya panya. tz ni nchi ya maajabu ulimwenguni.
ku** mkundu.
 
View attachment 3084734
"Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable😎"

Amesikika Waziri mpya wa Afya akiwa Congo Brazaville akisoma hotuba aliyoandikiwa.

Sielewi akiwa kwenye one on one discussion kwa English atafanyaje.

Ni bora awe anaongea Kiswahili tu, japo hata kwa Kiswahili usipotofutisha "l" na "r" UNABOWA sana wasikilizaji

View attachment 3084748
UNABOWA ni kitu gani hicho?
 
Kitu ambacho nimejifunza na nina jifunza kuhusu baadhi ya watanzania tunapenda kumind vitu visivyo na msingi ,yaani anaweza kuwa kiongozi anafanya vizuri sana katika majukumu yake let's say ni daktari,injinia, waziri lakini akitokea anaongea kingereza alafu akakosea kidogo tu kuongea ,basi inaonekana hafai kabisa hana sifa na yupo hapo kimagumashi .Hebu tuachane na huu ujinga tujikite kwenye issues.
Hivi huyo anaweza kufanya vizuri kwa akili ya panzi kama hii
 
Back
Top Bottom