Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville


Ila wewe! Umeitafuta wee hadi umeipata!

Ila baye mheshimiwa sijui alikuwa anawaza nini? Kwamba Zimbabwe siyo sovereign state?😃

Halafu na matamshi nayo yamekaa "kikwetukwetu"
1. I wirr exprain
2. Emproyment
3. Gentromen
4. "Elia"
5. Congo DIALASII
6. Majority of Tanzanian
7. Jentromen
8. "Koreges"
N.k.
 
Ila wewe! Umeitafuta wee hadi umeipata!

Ila baye mheshimiwa sijui alikuwa anawaza nini? Kwamba Zimbabwe siyo sovereign state?😃

Halafu na matamshi nayo yamekaa "kikwetukwetu"
1. I wirr exprain
2. Emproyment
3. Gentromen
4. "Elia"
5. Congo DIALASII
6. Majority of Tanzanian
7. Jentromen
8. "Koreges"
N.k.
Imenibidi maana kuna akina tomaso humu wamesema mimi mzushi
 
Inawezekana aliyemwandalia hotuba hii ana lake jambo, lakini Maprofesa wote wa Muhimbili na hata wanachuo wao ambao ni vipanga yaani wote wameshindwa hata kwa pamoja kumsaidia waziri wao asiadhirike jamaniii?
 

Attachments

  • IMG-20240924-WA0033.jpg
    IMG-20240924-WA0033.jpg
    101.2 KB · Views: 4
🤣🤣🤣🤣
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

PIA SOMA
"lejono dailekta"

am ovawamdi

ze plezident.
 
Hapo alipo baada kumuhurumia maana anatoka jasho hadi kwenye K
 
Back
Top Bottom