Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
👇Waziri wa Elimu aliyepigwa chenga na somo la Uraia?
🥺🥺🥺
View: https://www.youtube.com/watch?v=e3BNegmIUKM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👇Waziri wa Elimu aliyepigwa chenga na somo la Uraia?
🥺🥺🥺
Hajaerewa kweriHuja
Hujaelewa au?
🤣Huyu alizingua Sana..
Alikuwa Mbunge wa wapi? Alikuwa anaitwa nani vile?Tena ambaye ni mwalimu kwa taaluma na ni mmiliki wa shule.
Usicheze na kinge MIsta Chea😂Ingekua mi ndo mister chea ningecheka mbele yake
Imenibidi maana kuna akina tomaso humu wamesema mimi mzushiIla wewe! Umeitafuta wee hadi umeipata!
Ila baye mheshimiwa sijui alikuwa anawaza nini? Kwamba Zimbabwe siyo sovereign state?😃
Halafu na matamshi nayo yamekaa "kikwetukwetu"
1. I wirr exprain
2. Emproyment
3. Gentromen
4. "Elia"
5. Congo DIALASII
6. Majority of Tanzanian
7. Jentromen
8. "Koreges"
N.k.
Ndiyo umezidi kuwakasirisha sasa! Mwakani hawakupa kura.Imenibidi maana kuna akina tomaso humu wamesema mimi mzushi
Philipo Mulugo,mbunge wa Songwe.Alikuwa Mbunge wa wapi? Alikuwa anaitwa nani vile?
Hapa ndio shida ilipoanziaTo her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.
View attachment 3081568View attachment 3081569
View attachment 3081570
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
PIA SOMA
"lejono dailekta"Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
PIA SOMA