Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Wee kilaza kweli unatulinganisha na china ? Global history unaijuwa? Shortly intelligence selection kunashida ...ingekuwa wizara ya Michezo sawa ....bongo wenyeupeo mdogo kushika Hatamu
 
Kwani hukumbuki Comedian Nyerere alivyokuwa S Korea na alivyorudi?
 
Tatizo tuna wasomi wengi wanakizarau sana kiswahili na kukipenda sana English, wakati English yenyewe haiwapendi!!
Hata hicho Kimatumbi hakuna initiative yoyote.....matumizi makubwa ya Anasa ....Congo kiswahili ni mhimili huko nje Kiswahili kinafundishwa na wazungu na jirani zetu kama lugha muhimu sub Sahara resources harvesting .....huku investment kubwa ni UCHAWA na huko juu professional nyuma uchawa empty ubongo mbele....
Nibora kuanza upyaa kuliko tunakoelekea INASIKITISHA
 
UNGEMTAJA KABISAAAAA INGEPENDEZA SANA YULE ZE ZE ZE ZE
 
Hili limama limevuka viwango, ila kibokoo yake Joseph Muhagama, alimnyoosha kweli kweli, hadi kugawana jimboo, famchezo nn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹 wamatengo wachawi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…