Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Kijana kwani wewe ulikuwa msikilizaji huko WHO au shobo next time mjue english sio lugha yetu ....ni lugha ya tatu kwa baadhi ya watu

Sasa wewe unajifanya unajua wewe uko wapi mzee r na l
...mwezio ni waziri wewe mtaalam wa uliyesomea L and r unafanya kazi wapi sasa hivi
 
Kwa kweli hata mimi nakereka sana, ila ni ngumu kuwabadilisha, kwa sababu ndivyo walivyo na hawatabadilika.

Bahati mbaya wengi ni walienda shule wakafundishwa kiswahili kwa ufasaha.
 
Huyo kanitia kichefu chefu.

Shule alienda kusomea ujinga.

Ukiona namna hiyo na bado yupo serikalini ujue ni UWT mnoko sana na mchawi.
 
Kitu ambacho nimejifunza na nina jifunza kuhusu baadhi ya watanzania tunapenda kumind vitu visivyo na msingi ,yaani anaweza kuwa kiongozi anafanya vizuri sana katika majukumu yake let's say ni daktari,injinia, waziri lakini akitokea anaongea kingereza alafu akakosea kidogo tu kuongea ,basi inaonekana hafai kabisa hana sifa na yupo hapo kimagumashi .Hebu tuachane na huu ujinga tujikite kwenye issues.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…