Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chamsingi pesa mkuu.Nitarudi vipi shuleni wakati Mimi ni kikongwe?
Kijana kwani wewe ulikuwa msikilizaji huko WHO au shobo next time mjue english sio lugha yetu ....ni lugha ya tatu kwa baadhi ya watuView attachment 3084734
"Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable😎"
Amesikika Waziri mpya wa Afya aliwa Congo Brazaville akisoma hotuba aliyoandikiwa.
Sielewi akiwa kwenye one on one discussion kwa English atafanyaje.
Ni bora awe anaongea Kiswahili tu, japo hata kwa Kiswahili usipotofutisha "l" na "r" UNABOWA sana wasikilizaji
View attachment 3084748
Mimi nimenukuu tu wadau 😂Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable
UTusamehe Mkuu, Hatuludii tena Richa ya kwamba umetuonea Kwakweri
Kwaheli
Nadhani yote si sawa,kwa kuwa si neno la kiswahili hilo.Labda aseme anakerwa.Hivi ni "UNABOWA" au "UNABOA"?
Siludi, mie sitaki kumkela Mreta madaHunahenda wapi, ludi apa Alaka sana😄
U
Kumbe tayari,sikuona hii.Unakera...
Hakuna neno "unabowa" au "unaboa" kwenye kiswahili...
Watangazaji wa redio na tv hakika wanajitahid sana kuzingatia matumiz ya R na LMatumizi ya r na L yanasumbua wtz wengi.Mimi mwenyewe binafsi huwa yananichanganya.wajuvi wa kiswahili tufafanulieni matumizi ya r na L.
Kubari na ukili kosa😂Siludi, mie sitaki kumkela Mreta mada
View attachment 3084734
"Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable😎"
Amesikika Waziri mpya wa Afya aliwa Congo Brazaville akisoma hotuba aliyoandikiwa.
Sielewi akiwa kwenye one on one discussion kwa English atafanyaje.
Ni bora awe anaongea Kiswahili tu, japo hata kwa Kiswahili usipotofutisha "l" na "r" UNABOWA sana wasikilizaji
View attachment 3084748Huyo kanitia kichefuchefu.
Faiza huna buku apo?Huyi kanitia kichef
Shule alienda kusomea ujinga.
Ukiona namna hiyo na bado yupo serikalini ujue ni UWT mnoko sana na mchawi.
Wewe ongea na mkeo au wanao tu lakini usithubutu kuwa mtangazaji wa Radio/ TV, MC au public speakerMatumizi ya r na L yanasumbua wtz wengi.Mimi mwenyewe binafsi huwa yananichanganya.wajuvi wa kiswahili tufafanulieni matumizi ya r na L.
Ukiandika UNABOWA ni kuweka msisitizo zaidiHivi ni "UNABOWA" au "UNABOA"?