Anavoyatamka sasa hayo mashudu kwa mbwembwe mweny
Hana lolote huyo!Kingereza kizuri sana, i wish nijifunze kingereza cha kingoni.
Tatizo Lusangi mnataka kila mtu aongee kingereaza cha Mbowe na Lissu .
Hapa napo atasifiwa deaf frogHii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee....
Hiyo Cambridge International College ni vile ''vyuo vyetu'' nini?To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.
View attachment 3081568View attachment 3081569
View attachment 3081570
Halafu unaambiwa ni mwalimu kwa taaluma. Aisee?!Anavoyatamka sasa hayo mashudu kwa mbwembwe mwenyewe
L L L nyingi sana R R R zinapiga Chenga duh 🙄 !Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee....
Kwa niaba yangu
Si mlishabikia na kupiga debe Dkt Ndugulile kwenda WHO as if hatuna shida na watendaji wenye weledi wa kutosha kwa kada husika?Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee....
Kienyeji pro plusYani kiufupi viongozi wetu wengi ni local sio international material
kwani sifa ya kuwa mbunge Tanzania si ujue kusoma na kuandika na mbunge huyo huyo anaweza kuwa Waziranayeongea ni wewe! na hapo hapo uwe kwa niaba ya wewe! Shit!
YESU NI BWANA&MWOKOZI
Kama raisi wake tu. Elimu ya kuunga unga kwingi.To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.
View attachment 3081569
Angekuwa anababaisha kwenye kuongea Kiswahili ningemmaindi sana. Lakini lugha ya watu? Ya nini kuishobokea?Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee....