9.Blundi.Ila wewe! Umeitafuta wee hadi umeipata!
Ila baye mheshimiwa sijui alikuwa anawaza nini? Kwamba Zimbabwe siyo sovereign state?😃
Halafu na matamshi nayo yamekaa "kikwetukwetu"
1. I wirr exprain
2. Emproyment
3. Gentromen
4. "Elia"
5. Congo DIALASII
6. Majority of Tanzanian
7. Jentromen
8. "Koreges"
N.k.
Huwa anakirudia kila mara na hakuna wa kumsahihishaUkisema "on my own behalf" unataka kumaanisha nini?? Huwa sielewi kitu kwa kweli
That sounds so silly! Stupidity of the highest order!Ukisema "on my own behalf" unataka kumaanisha nini?? Huwa sielewi kitu kwa kweli
Hivi Kiswahili mtu anaweza kusema "kwa niaba yangu, mimi..."Huwa anakirudia kila mara na hakuna wa kumsahihisha
Hah huyu ni kiongozi kweliHii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
PIA SOMA
Hawa ni baadhi ya Mawaziri wanufaika tuu na mfumo with zero potentials.Hivi Kiswahili mtu anaweza kusema "kwa niaba yangu, mimi..."
Wana-kibananga Kiswahili.Hivi Kiswahili mtu anaweza kusema "kwa niaba yangu, mimi..."
Siyo kwamba tatizo ni chaka lao ccm... Mle inaonekana wapo wengi sana!Hawa ni baadhi ya Mawaziri wanufaika tuu na mfumo with zero potentials.
Prof Mkenda akiongea chochote, hupigwa bit kali na hawa hawa . Sielewi kama Taifa tutatokaje hapa. Nawakambuka Mawaziri nguli wa Wizara ya Afya kina Dr. Starling, Dr. Aaron Chiduo nk ambao waliweka misingi imara hasa mifumo ktk Wizara ya Afya. Sasa tumeanza kuweka wapiga debe . Sijui nchi ingeimarikaje kiafya ingekuwa wale wazee wawili ndo wapo kipindi hiki cha ukuaji teknologia kama AI.
Duh 🙄 !Tukumbushie na ile ya South Africa ya kwamba
View: https://www.youtube.com/watch?v=e3BNegmIUKM
"Tanzania is union of Zimbabwe and Pemba" oh!! No no no!!!, sorry!! It is Zambia and Mafia🤣
ukijua kusifu sifu mambo yanakunyookea !Siyo kwamba tatizo ni chaka lao ccm... Mle inaonekana wapo wengi sana!