Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni kweli, wamefanikiwa kuliko mimi kwa kaujiriwa na serekali. Ila mimi nina maisha mazuri bila kuajiriwa na yoyote.Fala ni yule anayehisi wivu kwa watu waliofanikiwa kuliko yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, wamefanikiwa kuliko mimi kwa kaujiriwa na serekali. Ila mimi nina maisha mazuri bila kuajiriwa na yoyote.Fala ni yule anayehisi wivu kwa watu waliofanikiwa kuliko yeye.
Ni kweli, lakini hata huo ujumbe hauna content zenye viwango.Nilishakutana na watu wa mataifa mbalimbali kwenye trainings mbalimbali nje ya nchi. Nobody cares about the minor mistakes, kikubwa ujumbe ufike
😂😂😂😂😂😂😂Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
Si nasikia wizara ya afya donors ndio kama nyumbani kwao. Sasa kila siku utakuwa unasingizia tumbo la kuharisha kweli. Ni wakati sasa tuongee tu kiswahili chetu, donors waje na wakalimani waoDuniani kuna wahuni waliobobea na hawakutaka hizo devices kwa makusudi Tu, wao wakaona nafasi ya kwanza Ni hii wakandaa speech wakijua kwake itakuwa Cambridge exam na kweli dunia mzima imeshuhudia near miss za ulimi mara kadhaa, nafikiria hii ingetokea pale Muhimbili lazima wanafunzi na maboss wao wangemwaga chips bila kupepesa, kama ndugu tumshauri awe mwepesi wakugundua mitego kama hii toka kwa wabaya wake na kuikwepa e.g
(1) kila Safari ya nje awe mgonjwa
(2)Wafadhili weupe wakifika kwa ofisi yeye aage kuwa kuna dharula
(3) Interview yoyote inayohusu kutema mayai yaliyochanganywa na Greek, latin terms Iwe mwiko kwake,
Tujaribu kuwa karibu na uhalisia wa mazingira yetu ili tufikie malengo kwa wakati muafaka,
Hebu angalieni lile jicho ambalo Dr Ndu
ngulile alokuwa "anakata" kumwangalia boss wake Ni kama lile la Mama wakati anamstopisha jamaa kumwaga mchele kule ArushaDuniani kuna wahuni waliobobea na hawakutaka hizo devices kwa makusudi Tu, wao wakaona nafasi ya kwanza Ni hii wakandaa speech wakijua kwake itakuwa Cambridge exam na kweli dunia mzima imeshuhudia near miss za ulimi mara kadhaa, nafikiria hii ingetokea pale Muhimbili lazima wanafunzi na maboss wao wangemwaga chips bila kupepesa, kama ndugu tumshauri awe mwepesi wakugundua mitego kama hii toka kwa wabaya wake na kuikwepa e.g
(1) kila Safari ya nje awe mgonjwa
(2)Wafadhili weupe wakifika kwa ofisi yeye aage kuwa kuna dharula
(3) Interview yoyote inayohusu kutema mayai yaliyochanganywa na Greek, latin terms Iwe mwiko kwake,
Tujaribu kuwa karibu na uhalisia wa mazingira yetu ili tufikie malengo kwa wakati muafaka,
Hebu angalieni lile jicho ambalo Dr Ndungulile alokuwa "anakata" kumwangalia boss wake Ni kama lile la Mama wakati anamstopisha jamaa kumwaga mchele kule Arusha
... 'waje na mkalimani wao'... Teknolojia ya mawasiliano ya sasa hivi haiihitaji kutembea na mkalimani.Si nasikia wizara ya afya donors ndio kama nyumbani kwao. Sasa kila siku utakuwa unasingizia tumbo la kuharisha kweli. Ni wakati sasa tuongee tu kiswahili chetu, donors waje na wakalimani wao
Ok basi watumie hiyo AI , lakini tuongee kiswahili tu. Yanini kupeana tabu na kuaibishana mbele ya watu ?... 'waje na mkalimani wao'... Teknolojiaya mawasiliano ya sasa hivi haiihitaji kutembea na mkalimani.
Mi wa kikusya namshindaNimefungua kwa speed baada ya kichwa cha habari nikitarajia madini.
Duh, hata mimi mnyakyusa wa Bujonde najitahidi kuliko yeye😃😃😃.
Na mimi uwa nashangaa sana inaoneka ana nidhamuHuyu mama huzipa nini mamlaka za uteuzi? Mbona mweupe lakini haachwi
Kawambwa!Tukumbushie na ile ya South Africa ya kwamba "Tanzania is union of Zimbabwe and Mafia" oh!! No, sorry!! It is Zambia and Pemba
ACha utoto Urusi ndo ufananishe na Tanzania mzima kweli kwa nchi changa kama Tanzania kujua kingereza ni lazima sio Ombi tena level ya waziri Come on Ona aibu kutetea UjingaHizi ndizo tunasema akili za kitumwa. Nenda Urusi kama utafundishwa kwa Kiingereza. Madaktari wazuri hapa TZ ni wale wamesoma Udaktari wao huko Urusi na walitumia Kirusi.
Kwani kulikuwa na ulazima wa yeye kutumia kingereza kwanini asingetumia lugha yetu ya kiswahili kama wanavyofanya mataifa mengine ambayo yanatumia lugha zao mfano ...india ,china,ujerumani,na mengine mengiACha utoto Urusi ndo ufananishe na Tanzania mzima kweli kwa nchi changa kama Tanzania kujua kingereza ni lazima sio Ombi tena level ya waziri Come on Ona aibu kutetea Ujinga
Nimesikiliza alivyoanza tu, nikashindwa kuendelea, kwa maumivu niliyoyapata.