Hotuba ya kwanza Mwenyekiti Lissu aiita Tanganyika Tanganyika. Tumepata mtetezi!

Hotuba ya kwanza Mwenyekiti Lissu aiita Tanganyika Tanganyika. Tumepata mtetezi!

Tindikali

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2010
Posts
2,086
Reaction score
2,823
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA katika sentensi yake ya kwanza ya hotuba yake ya kwanza baada ya uchaguzi amesema yeye anachagua maneno yake very carefully.

Akitangaza ratiba ya leo ya Baraza Kuu amesema litakutana na agenda ya kumchagua Party Secretary na manaibu wake, wa Zanzibar na Tanganyika!

Ninavyomjua Lissu, he means it from the heart. And he is telegraphing a message. And its going to be a battle royale for our country, for our lost interests, and lost identity. Ujumbe umefika.

Ahsante Mungu Mwenyezi tumepata kiongozi wa Tanganyika asiyejua kudanganya, na kujipendekeza pendekeza, na kuuma uma maneno. Na anaeelewa thamani ya utaifa na utu wa Mtanganyika.
 
Furaha iliyoje, nchi yetu tumempata kiongozi mwenye machungu ya nchi yake kutoka moyoni mwake, haogopi kifo kwa ajiri ya nchi yake na wala haogopi kurogwa, Tanganyika tunaitaka.
 
Rasmu ya wakioba inamwongoza

Kumbukeni alikuwa mjumbe wakamati ya katiba kwenye bunge la katiba

Na,samia alikuwa mwenyekiti kwahiyo anauhakika asemacho na warioba ndio alisema aongeze ulinzi
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA katika sentensi yake ya kwanza ya hotuba yake ya kwanza baada ya uchaguzi amesema yeye anachagua maneno yake very carefully.

Akitangaza ratiba ya leo ya Baraza Kuu amesema litakutana na agenda ya kumchagua Party Secretary na manaibu wake, wa Zanzibar na Tanganyika!

Ninavyomjua Lissu, he means it from the heart. And he is telegraphing a message. And its going to be a battle royale for our country, our lost interests and identity. Ujumbe umefika.

Ahsante Mungu Mwenyezi tumepata kiongozi wa Tanganyika asiyejua kudanganya, na kuuma uma maneno. Na anaeelewa thamani ya utaifa na utu wa Mtanganyika.
Hakuna kitu kinauma kama hela za bars kupelekwa Zanzibar kujenga shule za maghorofa, pili hela za bars kupelekwa pasupasu ilihali Zanzibar hawafiki hata milioni mbili over 60 + milioni ya ya watanganyika .
 
Well said Mkuu 👏
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA katika sentensi yake ya kwanza ya hotuba yake ya kwanza baada ya uchaguzi amesema yeye anachagua maneno yake very carefully.

Akitangaza ratiba ya leo ya Baraza Kuu amesema litakutana na agenda ya kumchagua Party Secretary na manaibu wake, wa Zanzibar na Tanganyika!

Ninavyomjua Lissu, he means it from the heart. And he is telegraphing a message. And its going to be a battle royale for our country, our lost interests and identity. Ujumbe umefika.

Ahsante Mungu Mwenyezi tumepata kiongozi wa Tanganyika asiyejua kudanganya, na kuuma uma maneno. Na anaeelewa thamani ya utaifa na utu wa Mtanganyika.
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA katika sentensi yake ya kwanza ya hotuba yake ya kwanza baada ya uchaguzi amesema yeye anachagua maneno yake very carefully.

Akitangaza ratiba ya leo ya Baraza Kuu amesema litakutana na agenda ya kumchagua Party Secretary na manaibu wake, wa Zanzibar na Tanganyika!

Ninavyomjua Lissu, he means it from the heart. And he is telegraphing a message. And its going to be a battle royale for our country, our lost interests and identity. Ujumbe umefika.

Ahsante Mungu Mwenyezi tumepata kiongozi wa Tanganyika asiyejua kudanganya, na kuuma uma maneno. Na anaeelewa thamani ya utaifa na utu wa Mtanganyika.
piga makofi matatu
 
Back
Top Bottom