kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Mwenyekiti Chadema ni mwanaume , CCM ni mwanamke, tutumie sasa akili za Marekani kumpata raisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo suala linauma sana.Hakuna kitu kinauma kama hela za bars kupelekwa Zanzibar kujenga shule za maghorofa, pili hela za bars kupelekwa pasupasu ilihali Zanzibar hawafiki hata milioni mbili over 60 + milioni ya ya watanganyika .
QUMAMAE KABISA SIJUI NIFANYEJE NIPATE KITENGO KWA LISSU OYA EE NA MM NPO KAMA LISSU EVEN BACKGROUND, KWANZA NTAMSHAWISHI TUMWAGE SILAHA KAMA CONGO TU ILI WATU WALIONYONYWA KWA MUDA MREFU WAONYESHE HASIRA ZAO SIPATI PICHA .HAHAHAHAHAHAHAHAHAH.Hakuna kitu kinauma kama hela za bars kupelekwa Zanzibar kujenga shule za maghorofa, pili hela za bars kupelekwa pasupasu ilihali Zanzibar hawafiki hata milioni mbili over 60 + milioni ya ya watanganyika .
Nyinyi ndio wehu na huyo bi kizi mkazi kwani Tanganyika ilipotelea wapi?? Mbona Zanzibar ipo?? Mtu unamheshimu kabisa ila anasema Tanzania bara ukimuuliza hiyo Tanzania bara ndio ipi anabakia kimya,,,,,,TUNALIOMBA Tanganyika yetu na huyu atailejesha salama,,,,,tumechoka na muungano wkialifara hivi,,, Zanzibar Ina rais wake Ina bendera yake vipi hiyo Tanzania bara unamjua rais wake???Kweli chadema mmepata kiongozi mwehu, nchi ya tanganyika iko kwenye katiba ipi?
Hizo ndio pimbi zinazompigia debe mama kiufupi Kuna takataka nyingi sana zinapiga uchawaMbona kuna Tanganyika law society(TLS)na kuna medical council of Tanganyika zinatoka wap?
Njaa mbaya sanaHizo ndio pimbi zinazompigia debe mama kiufupi Kuna takataka nyingi sana zinapiga uchawa
Bora umemkumbusha mwehu og.Wewe ndo mwehu sasa, tanganyika na Zanzibar ziliungana zikazaa Tanzania.
Mbona Zanzibar ipo bado?