Kawaida huzungumzwa mema ya marehmuSote tunajua alijiuzulu kwa kashfa ya ufisadi imesemwa? Historia ya marehemu ipo wazi.
Ccm wanaleta siasa misibani, kwani wakitaja neno chadema watakufa? Wanaogopa neno chadema kuliko hata shetaniMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.
View attachment 2907011
Ni ujinga wa wazi kukwepa sehemu muhimu ya marehemu kama hiyo. Labda uwe ni muumini wa siasa za kishenz
Kwenye wasifu? Ujinga ujinga tu tunakomaa nao. Nani asiyejua kuhusu mafuriko ya Chadema chini ya EL. Kwamba kutokuyataja kwenye wasifu kunafuta historia ya marehemu?
Wapumbavu mnoCcm wapumbavu sana, Mbowe kawaumbuwa hadharani aibu yao.
Walikuwa wanamshambulia yeye kupitia matendo yake.....ndio maana hakuambiwa fisadi waziri mkuu bali aliitwa fasadi LowasaHakudhalilishwa hata chembe ..
Halafu kwani CHADEMA walikuwa wanamshambulia kibinafsi au matendo yake??
Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.
View attachment 2907011
Ndo saccosi yake kila saa mbowe anaililia democracy itakayompa ruzuku kwa wingi .democracy ni kama kichaka tu ili aendeeleze ukwasi wakeAzungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
Mbowe kakurupuka, hutuba ya Rais imelionyesha hilo!!Ccm wapumbavu sana, Mbowe kawaumbuwa hadharani aibu yao.
CV ilioandikwa inaonyesha vipi? Chadema imetajwa?Mbowe kakurupuka, hutuba ya Rais imelionyesha hilo!!
We jamaa ni msenge sana na mbaya zaidi hujui kama wewe ni mpumbavuHistoria ya Marehemu huidhimishwa na familia kipi wanataka kiwepo kwenye Risala na kipi kisiwepo
Mbowe kasimama na mihasira na CCM na Serikali na Familia kuwa Mbona kwenye Historia hawajaweka kuwa alikuwa Chadema
Wwenyewe Familia wameamua hivyo
Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.Mbowe
Mbowe, hana hoja!! CCM lowasa amekaa miaka 43 , CDM miaka 4.Na mpaka, anakufa yupo CCM. Mbowe anatakiwa, atueleze hayo ya cdm, ambayo lowasa alikaa miaka minne siyo watu CCM waongee, ya cdm. Jamaa anapenda kulalamika!!Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.
View attachment 2907011
Ndo saccosi yake kila saa mbowe anaililia democracy itakayompa ruzuku kwa wingi .democracy ni kama kichaka tu ili aendeeleze ukwasi wake
Unaandika upumbavu hadi aibu naona mimiKama kinajulikana na Kila mtu Kuna haja Gani ya kukisema na kulazimisha kusema? Si kinajulikana.
Siku zingine jifunzeni protocol wasifu wa marehemu familia hushirikishwa Kuna vipengele waweza taka visiwepo mfano Mbowe akifariki wasifu hautamuka kuwa ana mke mwingine nje Joyce Mukya na kazaa naye.Familia itagoma pamoja na kuwa ni kitu Kiko wazi
Erythrocyte alitamani sana mbowe asipewe nafasi ili Chadema wapate sababu ya kuiponda ccm 😂😂 Sasa cjui atasemaje sasaErythrocyte amefura kwa hasira!
Hata angalikaa mwaka mmoja swala la kuwa mgombea urais kupitia chadema linatosha kuandikwa. Japo hupendi ukweli ndio huu. Sisi Waislam tumetakiwa ukweli japo utakudhuru mwenyeweMore
Mbowe, hana hoja!! CCM lowasa amekaa miaka 43 , CDM miaka 4.Na mpaka, anakufa yupo CCM. Mbowe anatakiwa, atueleze hayo ya cdm, ambayo lowasa alikaa miaka minne siyo watu CCM waongee, ya cdm. Jamaa anapenda kulalamika!!