Hotuba ya Mbowe imedhihirisha wazi kuwa hakuna tofauti ya wafuasi wa Magufuli na Mbowe

Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
Yaani unamlinganisha jpm na Nyerere?
Kwa lipi haswaaa?
 
Ninacho furahia sana ni kuona mataga sasa akili imewaridia tena na kuanza kukiri kuwa chadema bado ipo hai maana waludanganywa na jiwe kuwa kaiua cdm.
 
Ninacho furahia sana ni kuona mataga sasa akili imewaridia tena na kuanza kukiri kuwa chadema bado ipo hai maana waludanganywa na jiwe kuwa kaiua cdm.
Aisee
 
Ninawafahamu wote nitawaelezea kwa kifupi;

Magufuli:
Background ya umaskini na ushamba
Ana akili za kawaida japo ana PhD
PhD yake UDSM ni FAKE
Anamtaja Mungu Ila si muumini
Mwizi na Fisadi
Dikteta kiwango cha Hitler, katili
Malaya hachagui, hata changudoa
Mtu wa visasi sana, lazima akutende


Mbowe:
Background familia bora mstaarabu
Form Six Ila ana akili sana na upeo
Degree yake ya UK ni distance learning
Mkristu wa kawaida, anamuamini Mungu
Mwepesi kufanya deals za fedha
Dikteta kiwango cha Mugabe, anashurika
Malaya Ila anakula class
Mtu wa kusau na usuluhishi
 
Ni heri walisusa maana ingekuwa imepatikana katiba kituko ya Chenge na CCM wasingekubali kuifanyia marekibisho tena.
Kama kuna watu wameifanyia hila nchi hii kwa muda mrefu ni chama tawala, upinzani mnawaonea tu.
Mama anawajua hila zao.
Waliposusa Bunge la katiba .
Ana wa enjoy tu
 
Sukuma Gang tulieni dawa iwaingie fresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…