Hotuba ya Mbowe imedhihirisha wazi kuwa hakuna tofauti ya wafuasi wa Magufuli na Mbowe

Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii
Ulitaka kuandika anyway au? tehe uko huru kweli mwishimiwa!!
 
Kwamba hizo hela ni za bandia au sio

Kwamba hizo hela ni za bandia sio! Sijui mataga ndio kina nani ila nahisi na wewe umo humo kwenye hilo group. Huyo jamaa hawezi msahau mwamba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ile ilikuwa ni FURSA au opportunity kwa Mbowe kuilaza CCM meza ya machinjio ya 2025.

Hivyo ni kwasababu alizungumza na watanzania moja kwa moja baada ya kutokuwepo nchini kwa muda mrefu.

Kuna kitu ambacho angekisema jana kingebadili kila kitu.

Mbowe anahitaji wana mikakati makini.
 
Au ndo ww uliepewa hizo pesa na huyo Mungu wako? Punguza shobo MATAGA mnyonge usiejielewa ww...
Ndio mimi mkuu, na kwa taarifa yako hiyo kodi yako nimetrooombea yote... Ukitaka nenda kashitaki.
 
Mbowe anapendwa kutoka moyoni , Magufuli alipendwa baada ya kuwalipa wapambe pesa , ajira na vyeo , wewe uliona wapi watu wanampenda anayewatukana ?
 
umeongeaa sahihi kabisa , wafuasi wa magufuri na wafuasi wa mbowe yote ni makarai
 
Kama mnampenda toka moyoni msaidieni awe na mikakati makini ya kuitoa CCM madarakani.

Tuache unafiki huku nchi yachezeshwa madogoli.
Mbona ccm imekwisha kitambo sana , labda tujipange tu kuling'oa jeshi la polisi tu
 
Hoja mfuu kabisa hii,au unafikiria kwa kutumia matade?
 
Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa

Acha kumchanganya Nyerere na majizi ya kura.
 
Kajifunze kuandika vizur kwanza then ndio uje hapa ku comment
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Form six failure (DJ) unamlinganisha na Phd holder in Chemistry?
 
Unateseka na nini sukule Mkaruka ?
Je, ni CHADEMA?
Je, ni Kigogo?
Je, ni Mbowe?
Je, ni kuondoka kwa mtesi wa Watanzania?
Pole kwa kuteseka.
 
Siasa za nchi hii ni kichekesho mkuu.. wanasiasa wanatugeuza kama chapati.. wanajua sisi wengi ni malofa (kwa sauti ya mkapa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…