Hotuba ya Mbowe, ni dawa ya kutibu misuli ya moyo

Mkuu kunywa bia nitakuja kulipa.
 
Maana hotuba za upande mwingine ni zile Nileteeeeni......, Nileteeeeeeeni........ Nileteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeni... Gwa....... hadi muda unakwisha
Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuuuuuuuuu?MNIOMBEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
 
Hayo uliyoyabainisha ni kweli ndiyo yalikuwa msingi wa matokeo yaliyotokea. Lakini yafaa ujue pia kuwa, kwa kufuata msingi wa Katiba na Kanuni za CHADEMA watuhumiwa walikuwa na haki zote za kujieleza na kutetea njia/mbinu walizotumia hadi kupata hizo zinazoitwa nyaraka za chama za kuthibitisha kuchaguliwa kwao. Aidha, wameogopa kutoea kwa kujua Kuwa watabanwa hadi watoe siri iliyotumika hadi wafike walipofika.
Hoja ya wewe kusema eti ni drama haina msingi wala uhai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…