Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

We Africans are just an inferior race. Huo ndio ukweli.

Wewe mtu anakukuta sehemu umejijenga na una maisha yako halafu kizembe zembe anakutawala na kusema kavumbua yeye hilo eneo na wewe mwenye eneo kuonekana ni mgeni unadhani ni hulka ya kawaida??

Kwanini wazungu hawjaenda Saudia ama China kusema wamewavumbua. Sisi waafrika ni watu wa ovyo kutoka enzi na enzi, that's the truth. Kuna madingi walibadilishana ardhi zao na vioo, pumbavu.
 
Waislam tena??
 
Kwa namna ilivyo katika nchi yetu na Afrika kwa ujumla wake,Jamaa aliongea ukweli mtupu .kuna wengine nawaona hapa wanakata viuno kwenye mapokezi ya ndege nawaonea huruma nikikumbuka report ya CAG
 
Kwan una umri gani mkuu?!
Unapouliza kuna ukweli gan?! Ni kwmb we unaona uwongo kwenye hayo yaliyosemwa ama vip?!
 
Kiongozi mzuri anaandaa viongozi wa kumrithi na anaishi kwa mfano

Africa hatujui kuchagua viongozi

Kiongozi Mzuri hawezi kupendwa, ukipendwa ujue unaharibu

Mtu wa maamuzi magumu hawezi kupendwa na wazungu

Viongozi wa African wengi ni puppets wa wazungu
 
Uafrika ni LAANA
 
Mbona Trump ameongea sana hizi kauli?

Trump akaenda mbali zaidi akasema umahiri wetu ni kwenye ngono tu.
 
Ukweli mtu aliouzangumza, Jamaa ajengewe sanamu tu. Watu weusi wamelaanika
 
Hakuna Botha aliyewahi sema hivi kati ya wale wawili. Ni dhana ilitungwa kumchafua ama kusisitiza mtazamo wa mtu kwa kupitia mgongo wake. Hii kitu imeandikwa na Waafrika wenyewe na ukitaka wakupe evidence aliisema wapi, lini na rekodi ziko wapi hawana
 
Inatafakarisha!
 
Alichosema Botha ni kichungu lakini ni ukweli mtupu

1. Nionyesheni nchi moja tu ya Afrika iliyotoka katika ukoloni imepiga hatua

2. South Africa ya Botha siyo hii ya Ramaphosa. ya mgao wa Umeme kama Tanzania.

3. Vijana wa Africa wanazama mediterenia wakielekea Ulaya kwasababu viongozi wa Africa hawana maarifa tena

4. Kuna nchi mmoja ya Africa , watu 393 kwenye jumba moja kuubwa lenye viyoyozi wana mishahara sawa au kuzidi wenzao wa Ulaya na America. Kundi hilo linajilipa hadi posho za kukaa kwenye viti vya kazi na nje ya jengo lao kume park magari yasiyoweza kumilikiwa na raia wa nchi za Ulaya na Marekani

Bajeti ya kundi hilo ni sawa na Bajeti ya Wizara YA Elimu inayohudumia raia wa nchi hiyo.

Botha kakosea wapi?

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Hii speech ya P.w Botha itaishi miaka na miaka kama uamsho wa mtu mweusi popote alipo hapa ulimwenguni........

Botha akiwa hospital anaugua kabla ya kufariki Duniani aliwai kutembelewa na waandishi wa habari Moja ya swali walilo muuliza JE? ANAKITU CHOCHOTE ANACHO JUTIA KUHUSU MATAMSHI NA MWENENDO NA MTAZANO WAKE KUHUSU WATU WEUSI AKAJIBU
HAJUTUI CHOCHOTE WALA HAWEZI KUOMBA RADHI KWA MATAMSHI NA MATENDO YAKE....
 
Asante mkuu kwa kufukua huu uzi
Kwa hapa Tanzania Botha wetu ni CCM na serikali yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…