Hotuba ya Rais Bungeni: Usisahau kuongelea mambo haya...

Hotuba ya Rais Bungeni: Usisahau kuongelea mambo haya...

Mheshimiwa Rais,

Unapojiandaa-andaa kulihutubia bunge,tena kwa mara ya kwanza;usisahau kuongelea mambo haya:,

1. Ajira kwa vijana.
2. Bei za bidhaa, hasa bidhaa zinazoliwa
3. Gharama za tozo za simu
4. Katiba mpya
5. Maridhiano ya kitaifa
6. Ripoti ya CAG
7. Ubovu wa bunge la JMT.

Kila la kheri rais wetu unapolihutubia Bunge kwa mara ya kwanza.
Msimjazie Rais maneno ya kuongea mwacheni kwani YY hajui nn kinachoendelea?hii ndo shida ya nchi yetu kila mtu anataka kumlisha Rais wetu jambo la kuongea.Mwacheni aongee mwenyewe shida iko wapi nyinyi subirini kuchambua hotuba yake.
 
Ninatamani sana kama atalivunja bunge maana halina afya kwa ustawi wa maisha yetu
Ndugai na Tulia wamekua watu wa mihemko
Bora bunge livunjwe kwani hata hivyo situmeambiwa ipo miradi inaendeshwa lakini bunge halijaidhinisha?
Hiyo bajeti ya TAMISEMI siniboratu huyo waziri angekaa kimya kuliko huo ujenzi unaozidi makusanyo ya halmashauri
 
wacha tusubirie tuone Mama atakuja na muelekeo upi?
 
Asipogusia suala la wabunge feki 19 atakuwa naye ameenda kudemka bungeni.
 
Back
Top Bottom