Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Sawa,hotuba tumeisikia na haina jambo jipya!Nimeona pamoja kwamba bunge ni la kwenu bado mnaendelea kututukana,Gwajima amepewa nafasi ya kushukuru anamwambia Rais kuwa sisi wafuasi wa upinzani ni "mbwa"!
Sijasikiliza hiyo hotuba, huyo Gwajima katamka huo upuuzi?

Pengine anautafuta unaibu somewhere kwa kasi ya ajabu!
 
That's nonesense!! yaani unapanga au kuamuru muhimili unaokukagua/simamia utendaji wako sehemu unazotaka wewe.?
Mna hali tete sana huko mbeleni!
Bunge kuisimamia serikali lazima wajue itafanya Nini kipindi hiki hata mkaguzi wa mahesabu hawezi kagua tu wakati hajui shughuli zako unazofanya Ni zipi lazima apate maelezo kutoka kwako !!!
 
Walikuwepo wakati anaapishwa, au unataka nini tena zaidi ya hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…