Suala la kuapishwa PM, Mawaziri na viongozi wengine mbele ya Rais huwa daima linarushwa live na TV & redio. PM huwa anaapishwa Ikulu. Hata hivyo, binafsi sikumuona PM akila kiapo jana. Baada ya PM kuteuliwa na Mh. Rais na wabunge kuidhinisha kwa 100% (kama wengi tulivyotegemea kutikana na utendaji wake mujarab awanu iliyopita), nilichokuwa nakisubiria ni Mh. Rais kulihutubia Bunge leo kisha PM aapishwe na kisha Mh. Rais ateue Mawaziri kwa kushauriana nae.
Maswali "Pasua Kichwa":
1. Je, PM ameishaapishwa?
2. Je, kama PM hajaapishwa, ina maana Mh. Rais hakumuhusisha PM kwenye uteuzi wa Mawaziri hawa?
3. Kama alimuhusisha, je ni sahihi kwa Mh. Rais kumuhusisha PM ambaye hajaapishwa?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]