Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Sijasikiliza hiyo hotuba, huyo Gwajima katamka huo upuuzi?Sawa,hotuba tumeisikia na haina jambo jipya!Nimeona pamoja kwamba bunge ni la kwenu bado mnaendelea kututukana,Gwajima amepewa nafasi ya kushukuru anamwambia Rais kuwa sisi wafuasi wa upinzani ni "mbwa"!
Pengine anautafuta unaibu somewhere kwa kasi ya ajabu!