Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
stpdHabar Wana jamiforums
Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa
Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam
Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu
Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu
Kama wale walio kua wanamfata Tundulisu [emoji1787][emoji1787]kufatilia sio kupendwa mkuu,kuna watu tunafatilia atasema nini juu ya upumbavu aliofanya kunajisi uchaguzi mkuu.
Kibano cha mtu aliye fail?Utabiri:
Katika kujaribu kujibu hoja za Lissu na pia kuweka mambo sawa na zaidi katika kujaribu kutuliza machungu ya watu yaliyotokana na huu uchaguzi unaolalamikiwa kila kona, wanaweza leo kuja na tangazo la nyongeza ya mishahara katika hotuba itayotolewa Mjengoni.
Wanaweza kurekebisha Bajeti katika Bunge hili ili kuongeza hiyo mishahara japo hali ni tete.
Pia, hii itakuwa ni katika kuonyesha tunaweza tukiamua kumbe ni kujaribu tu kutafuta support ya umma kwa kuanza kujitekebisha.
Kumbukeni huu ni utabiri hivyo unaweza kutimia kama navyotarajia au vinginevyo but mkae mkijui hili haliko mbali.
Zile ajira 13000 ziliishia wapi?Utabiri:
Katika kujaribu kujibu hoja za Lissu na pia kuweka mambo sawa na zaidi katika kujaribu kutuliza machungu ya watu yaliyotokana na huu uchaguzi unaolalamikiwa kila kona, wanaweza leo kuja na tangazo la nyongeza ya mishahara katika hotuba itayotolewa Mjengoni.
Wanaweza kurekebisha Bajeti katika Bunge hili ili kuongeza hiyo mishahara japo hali ni tete.
Pia, hii itakuwa ni katika kuonyesha tunaweza tukiamua kumbe ni kujaribu tu kutafuta support ya umma kwa kuanza kujitekebisha.
Kumbukeni huu ni utabiri hivyo unaweza kutimia kama navyotarajia au vinginevyo but mkae mkijui hili haliko mbali.
Haha hahah watu 4'300 tu ndio wanaangalia upotolo wa Nduli KayafaView attachment 1625405
Tupo 4.3k, na idadi inaendelea kuongezeka
Acha ujinga na kukariri.Kwan chadema Kati ya Hao watu mlipigiwa kura na wangapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulipigiwa na Ma RSO,DSO,NEC na Police.Kwan chadema Kati ya Hao watu mlipigiwa kura na wangapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo kuandika ndio kufuatilia hilo Bunge?Kumbe unatazama bunge letu. Safi sana kamanda. Sasa dawa imeingia
Ndio, na wale waliokuwa wanasombwa na magari pia uwajumuisheKama wale walio kua wanamfata Tundulisu [emoji1787][emoji1787]
Na kwenye wasapu piaUtasoma gazetini!
Sasa umejuaje Rais anahutubia bunge leoKwahiyo kuandika ndio kufuatilia hilo Bunge?
Kwani hilo ni jambo la siri?Sasa umejuaje Rais anahutubia bunge leo
Habar Wana jamiforums
Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa
Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam
Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu
Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu
Habar Wana jamiforums
Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa
Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam
Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu
Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu