Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Yaani ngedere wa kijani wanafanya kikao chao, halafu sisi watu wenye akili timamu tuwafuatilie, ili iweje?
 
Habar Wana jamiforums

Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa


Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam

Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu

Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu
stpd
 
Utabiri:

Katika kujaribu kujibu hoja za Lissu na pia kuweka mambo sawa na zaidi katika kujaribu kutuliza machungu ya watu yaliyotokana na huu uchaguzi unaolalamikiwa kila kona, wanaweza leo kuja na tangazo la nyongeza ya mishahara katika hotuba itayotolewa Mjengoni.

Wanaweza kurekebisha Bajeti katika Bunge hili ili kuongeza hiyo mishahara japo hali ni tete.

Pia, hii itakuwa ni katika kuonyesha tunaweza tukiamua kumbe ni kujaribu tu kutafuta support ya umma kwa kuanza kujitekebisha.

Kumbukeni huu ni utabiri hivyo unaweza kutimia kama navyotarajia au vinginevyo but mkae mkijui hili haliko mbali.
Kibano cha mtu aliye fail?
Alipata hata nusu ya kura za Lowasa na wabunge wangapi?
Mnampa mtu sifa asizo kuwa nazo.
Tulipiga kibaraka na beberu lake over
Kwa sasa wamejifungia huko wanafarijiana.
 
Utabiri:

Katika kujaribu kujibu hoja za Lissu na pia kuweka mambo sawa na zaidi katika kujaribu kutuliza machungu ya watu yaliyotokana na huu uchaguzi unaolalamikiwa kila kona, wanaweza leo kuja na tangazo la nyongeza ya mishahara katika hotuba itayotolewa Mjengoni.

Wanaweza kurekebisha Bajeti katika Bunge hili ili kuongeza hiyo mishahara japo hali ni tete.

Pia, hii itakuwa ni katika kuonyesha tunaweza tukiamua kumbe ni kujaribu tu kutafuta support ya umma kwa kuanza kujitekebisha.

Kumbukeni huu ni utabiri hivyo unaweza kutimia kama navyotarajia au vinginevyo but mkae mkijui hili haliko mbali.
Zile ajira 13000 ziliishia wapi?
 
Kwan chadema Kati ya Hao watu mlipigiwa kura na wangapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha ujinga na kukariri.
Kila mtu anayependa haki na kupinga dhuluma, nyinyi mnamuona ni CHADEMA.

Yaani bila kuitaja CHADEMA hampati attention.
 
Utumbuaji majipu utaendelea

Maslai ya wafanyakazi yataboreshwa
Wachape kazi

Ajira millioni 8 na Mikopo ya 10% kwa vijana kwa ngazi ya halmashauri

Hotuba ya Rais Ufunguzi wa bunge 2020
 
Hilo haliwezekani kwasasa kwasababu pia hawajui majaaliwa ya mabeberu kwa bajeti yetu.
 
Mimi sikumchagua ila nafatilia, nitoe kwenye hiyo 90%
 
Habar Wana jamiforums

Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa


Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam

Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu

Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu

Hata habari za vita vya Ghuba tulizifuatilia sana, je tulikuwa tunaviunga mkono vita vile?
 
Habar Wana jamiforums

Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa


Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam

Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu

Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu

Sio kila anayekusikiliza ana lake jema wengine wanataka wapate point za kukosoa
 
Back
Top Bottom