Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Sanaa za Maonyesho .....ahaahaaa nimeweka Tv bila sauti, naona mapicha mapicha tu yanawekwa ....hapa ....sitaki kuharibu siku yangu
 
Asubuhi nimemwambia mke wangu asiache head phone yake ili asikilize hotuba ya rais, tusi alilonitukana hajawahi toka tumeoana, na siwezi kuliweka hapa nitapigwa ban.
Pole sana, lakini angalau ameonyesha hisia zake kuwa hataki takataka! She is firm in her undertakings!
 
Asubuhi nimemwambia mke wangu asiache head phone yake ili asikilize hotuba ya rais, tusi alilonitukana hajawahi toka tumeoana, na siwezi kuliweka hapa nitapigwa ban.
Usijali kaka ndio MAHABA hayo ..

Usiku usisahau " kumuadhibu "
 
Lissu kaahidi atakuwa rais hajatekeleza, Mbowe kuahidi kuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72 hajatekeleza, Sasa Hawa wanafiki hujawaona?
Lissu na Mbowe hawakuahidi Bali walitoa tathmini yao
Mimi nikua na malengo ya kua Daktari wakati nasoma lakini ninekua mfanyabiashara ile haikua ahadi
Lakini huyu KAFIRI ni MNAFIKI maana alisema nikipata uraisi tatoa mill 50 kila kijiji na lap top Kwa kila mwanafunzi
 
Lissu na Mbowe hawakuahidi Bali walitoa tathmini yao
Mimi nikua na malengo ya kua Daktari wakati nasoma lakini ninekua mfanyabiashara ile haikua ahadi
Lakini huyu KAFIRI ni MNAFIKI maana alisema nikipata uraisi tatoa mill 50 kila kijiji na lap top Kwa kila mwanafunzi
Huna hoja
 
Watanzania wapi hao unao wazungumzia ,Bunge la CCM kwa hisani ya Mwenyekiti malaika asie kosea na alie shindishwa kwa kishindo.

Mmeiharibu Nchi yetu sana nyie Watu.
Mlisema shetani hawezi kumshinda Mungu.
Shetani kala kichapo Cha shoga mwizi na malaika zake wametawanyika wanalialia ukimbizini.
 
Back
Top Bottom