Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Bunge lililopita ilikuwa Mbunge wa CCM akisimama Bungeni na kuwashambulia Wabunge wa Upinzani, Magufuli alikuwa anawapa Uwaziri/Unaibu sasa mara kama mlitegemea kupata vyeo kwa kushambulia upinzani mmeula ya chuyaaaa!..
 
Ukweli ni kuwa Jiwe ametimiza alama zile tatu za mnafiki kwa mujibu wa mafunzo ya dini ya kiislamu

1. Akisema anasema uongo
2. Akiahidi hatekelezi
3. Akiaminiwa anafanya hiyana

-Anasema maendeleo hayana chama, lakini anakiri na kuonya kutopeleka maendeleo sehemu watakazochagua upinzani.

-Kaahidi milion 50 kila kijiji hajatoa

-Kaaminiwa kulinda na kuitetea katiba lakini yeye ndio huwa wa kwanza kuivunja kwa mfano kitendo cha kuzuia shughuli halali za kisiasa za vyama vya zilizoko kwenye katiba.

Kutokana na yeye kuwa mtu asiyeaminika mimi niliacha kitambo sana kumchukulia serious au kupoteza muda wangu kumsikiliza
Lissu kaahidi atakuwa rais hajatekeleza, Mbowe kuahidi kuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72 hajatekeleza, Sasa Hawa wanafiki hujawaona?
 
Utabiri:

Katika kujaribu kujibu hoja za Lissu na pia kuweka mambo sawa na zaidi katika kujaribu kutuliza machungu ya watu yaliyotokana na huu uchaguzi unaolalamikiwa kila kona, wanaweza leo kuja na tangazo la nyongeza ya mishahara katika hotuba itayotolewa Mjengoni.

Wanaweza kurekebisha Bajeti katika Bunge hili ili kuongeza hiyo mishahara japo hali ni tete.

Pia, hii itakuwa ni katika kuonyesha tunaweza tukiamua kumbe ni kujaribu tu kutafuta support ya umma kwa kuanza kujirekebisha.

Kumbukeni huu ni utabiri hivyo unaweza kutimia kama navyotarajia au vinginevyo but mkae mkijui hili haliko mbali.
Sasa akifanya hivyo itakuwa ni kwasababu ya uchaguzi au atakuwa anatimiza wajibu ambao ulitakiwa kuwa umefanywa miaka mitano iliyopita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema watanzania wanaofuatilia mkutano wa ccm walioamua kuufanyia bungeni.
 
Bwashee usichanganye Imani ya dini yako na siasa!
Acha aweweseke, Ponda alisema waislam wote wamekubaliana kumpigia kura zote tundu Lissu na ameshakuwa rais na anasubiri kuapishwa tuu, huyu mnafiki na waislam wanafiki waliokubaliana na ponda kusema uongo mbona hawaoni?
 
Dege la mizigo laja
Watu wafanye kazi waume mizigo abroad
 
Habar Wana jamiforums

Leo Mh Rais Analihutubia Bunge na Watanzania wote na jambo la kufuraisha ni kuona Watanzania wakiwa wenye furaha na kutaka kumuona Rais wao sio Bungen tu hata Manyumban asilimia 90 na watu wote kila nilipo pita wako bize wanasikiliza hotuba ya Rais wao Mpendwa

Jambo kama ili ndio sababu hata Mabeberu wanashindwa kutuhujum mana ushaid watao takiwa kutoa ili wapewe saport hawana sababu huwez kusema watanzania hatuna Amani au Furaha wakat tuna tabasam na afya nzur uhuru na akil timam

Ndiomana hata baadh ya wapinzan wanaamua kutaka kuwakomoa na watanzania kwa kutaka nchi wahisan watunyime mikopo kitu ambacho ili wafanikiwe lazima waeleze kwann wanafikir tunastail kunyimwa Mikopo kitu ambacho hawawez kua nacho ndiomana mmoja wa kibaraka wao walimtuma aje kuitafuta icho kitu ambae nae Ameshindwa Kwan kawakuta Watanzania Wana Akil Zaid ya Hao Mabeberu wezi wa Mali za watu

Ukitaka kubisha jaribu kufanya research Channel ip inaangaliwa Sana muda huu
Ni kama mnajaribu kuhalalisha haramu aisee hao watanzania wa wapi mkuu
 
Hao watu wawili sio chama pinzani wamewaweka ili kutimizamatakwa yai ili binge lionekane linawapinzani wakati ni viini macho mazingaombo
Yule mwanamke ni afisa kipenyo, CDM fukuza takataka
 
Back
Top Bottom