Hotuba ya Rais Samia mkoani Mbeya imeibua shangwe na nderemo Nyanda za Juu Kusini

Hotuba ya Rais Samia mkoani Mbeya imeibua shangwe na nderemo Nyanda za Juu Kusini

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu ukizungumzia suala la kilimo kwa mikoa ya nyanda za juu kusini ndio pumzi ya wananchi wote, Ndio tegemeo la wote, Ndio uti wa mgongo kwetu, Ndio shine yetu, Ndio mkombozi wetu, Ndio tumaini letu, Ndio maisha yetu, Ndio uhai wetu, hivyo Hali yoyote ikipita na kukwamisha juhudi za kilimo Ni sawa na kutupatia hewa ya Moto ili tuvute.

Ndugu zangu, mwaka jana wakulima wakipata shida kubwa sana juu ya bei ya pembejeo kutokanaa na Bei kubwa ya pembejeo hasa mbolea, hali hii ilipunguza uzalishaji kutokanaa na kushindwa kumudu bei, lakini Watanzania tuliendelea kuwa na matumaini na Mh Rais kutokanaa na maneno yake ya kushugulika suala hilo.

Hatimaye leo Mh Rais ameibua shangwe baada ya kutangazwa hadharani juu ya Ruzuku itakayotolewa na Bei zitakavyokuwa kwa msimu huu, hakika mama ameacha shangwe huku mitaaana ni wimbo wa Mamaa maamaa Mamaa Mamaa maamaa anaupiga mwingi sanaaaaa.

Wana nyanda za juu kusini mioyo yao ni Safi kwa Sasa, wanasema wapo na mama popote Alipo watakuwa Naye, wanasema Huyu mama Ni zawadi kwetu watanzania, nami nasema mama Ni mpango wa Mungu na Mungu akikuinua hakuna wa kukushusha, mama mama kazi iendelee.
 
Unaamini vipi mara ngapi ahadi hizo zimekuwa zikitolewa ,hivi umemsahau kuhusu mafuta CCM ni ileile
 
Unaamini vipi mara ngapi ahadi hizo zimekuwa zikitolewa ,hivi umemsahau kuhusu mafuta CCM ni ileile
Hapana Huyu wa Sasa Ni Rais wa vitendo na hana bla bla, kwake ni maneno kidogo vitendo vingi, Ni Rais mwenye dhamira ya dhati na mwenye uchungu na nchi hii, Ni Rais mwenye huruma na upendo, Hapendi kuona wananchi wakiteseka na kuhangaika, Anafanya kazi bila kuchoka, Anajituma kupita maelezo.

Amedhamilia kuinua kilimo na maisha ya mkulima, Anataka kuona mkulima akifaidika na jasho lake, Hataki kuona mkulima akinyonywa na watu walio kaa vivulini, Anataka kuona nchi inasonga mbele na kila aliye tayari kufanya kazi Basi anafaidika na juhudi zake, Ndio maana unamuona yupo kila secta kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma, Anajenga uchumi utakao mgusa na kumnufaisha kila mwananchi,Tumuunge mkono Rais wetu na kumtia moyo maana siyo wote wanaopendezwa na kazi nzuri ya Mh Rais.
 
Hapana Huyu wa Sasa Ni Rais wa vitendo na hana bla bla, kwake Ni maneno kidogo vitendo vingi, Ni Rais mwenye dhamira ya dhati na mwenye uchungu na nchi hii, Ni Rais mwenye huruma na upendo, Hapendi kuona wananchi wakiteseka na kuhangaika, Anafanya kazi bila kuchoka, Anajituma kupita maelezo, Amedhamilia kuinua kilimo na maisha ya mkulima, Anataka kuona mkulima akifaidika na jasho lake, Hataki kuona mkulima akinyonywa na watu walio kaa vivulini, Anataka kuona nchi inasonga mbele na kila aliye tayari kufanya kazi Basi anafaidika na juhudi zake, Ndio maana unamuona yupo kila secta kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma, Anajenga uchumi utakao mgusa na kumnufaisha kila mwananchi,Tumuunge mkono Rais wetu na kumtia moyo maana siyo wote wanaopendezwa na kazi nzuri ya mh Rais
Nyi ndio wale wale wapiga Debe,unapiga Debe basi linaondoka uko palepele
 
Ndugu zangu ukizungumzia suala la kilimo kwa mikoa ya nyanda za juu kusini ndio pumzi ya wananchi wote, Ndio tegemeo la wote, Ndio uti wa mgongo kwetu, Ndio shine yetu, Ndio mkombozi wetu, Ndio tumaini letu, Ndio maisha yetu, Ndio uhai wetu, hivyo Hali yoyote ikipita na kukwamisha juhudi za kilimo Ni sawa na kutupatia hewa ya Moto ili tuvute, ndugu zangu mwaka Jana wakulima wakipata shida kubwa Sana juu ya Bei ya pembejeo kutokanaa na Bei kubwa ya pembejeo hasa mbolea, Hali hii ilipunguza uzalishaji kutokanaa na kushindwa kumudu Bei, lakini watanzania tuliendelea kuwa na matumaini na mh Rais kutokanaa na maneno yake ya kushugulika suala Hilo, hatimaye Leo mh Rais ameibua shangwe baada ya kutangazwa hadharani juu ya Ruzuku itakayotolewa na Bei zitakavyokuwa kwa msimu huu, hakika mama ameacha shangwe huku mitaaana Ni wimbo wa Mamaa maamaa Mamaa Mamaa maamaa anaupiga mwingi sanaaaaa, Wana nyanda za juu kusini mioyo yao Ni Safi kwa Sasa, wanasema wapo na mama popote Alipo watakuwa Naye, wanasema Huyu mama Ni zawadi kwetu watanzania, Nami nasema mama Ni mpango wa Mungu na Mungu akikuinua hakuna wa kukushusha, mama mama kazi iendeleeee
Mwakyembe aliwahi kuahidi soko la mchele wa Kyela Marekani , hakuwahi kutimiza na alipoulizwa akawa mbogo na kuanza kijilinda na digrii 4 .

Inahitaji muda kidogo kabla hujasifia
 
Chawa mku

Chawa mkuu
Kazi za mama zinaonekana hata kwa kipofu anaweza akagusa na kuzitambua tu achilia mbali kuzisikia, Nisipo mpa pongezi Mimi bado mamilioni ya watanzania watasimamia naa kumsemea mama, wanafunzi wa vyuo ambao Sasa wanapewa mikopo watasimamia na mama hata wote tukikaa kimya, vituo vya Afya na zahanati zinazojengwa kila Kona vitazungumza tu na kuonekana hata vikiwekewa uzio, wakulima wa mahindi wanaouza kwa Bei nzuri watasimama na kumsifu Rais, watalii wanaofurika nchini watapaza sauti kumpongeza kwa mazingira mazuri ya utalii, wawekezaji nao watasimamia kumshukuru kwa mazingira rafiki ya uwekezaji hata Kama Mimi Nisipo msifu na kumtia moyo Rais wangu, Kamwe siwezi nikakaa kimya kwa kazi nzuri afanyazo mh Rais wangu
 
Mwakyembe aliwahi kuahidi soko la mchele wa Kyela Marekani , hakuwahi kutimiza na alipoulizwa akawa mbogo na kuanza kijilinda na digrii 4 .

Inahitaji muda kidogo kabla hujasif

Mwakyembe aliwahi kuahidi soko la mchele wa Kyela Marekani , hakuwahi kutimiza na alipoulizwa akawa mbogo na kuanza kijilinda na digrii 4 .

Inahitaji muda kidogo kabla hujasifia
Ndugu yangu mwana nyanda za juu kusini mwenzangu Naomba muangalie mama na muamini, Hana maneno ya kilaghai, Akiahidi anatenda, Akisema anatekeleza, Anazungumza anachomaanisha toka ndani ya moyo wake, mama yetu ana mapenzi mema Sanaa na nchi hii, Ana uchungu na nchi hii, Ana dhamira na Amedhamilia kuinua na kuboresha maisha ya mtanzania, Anajenga uchumi utakao mgusa kila mwananchi bila kuachwa nyuma kwa kundi lolote lile, hata ukimuangalia katika paji la uso wake unatambua Amedhamilia kuijenga Tanzania mpya bila kuumiza mtu, Yupo Tayari kufanya kazi na wote wenye utayari wa kuijenga nchi hii, Hataki kuona mtu yoyote anabaki nyuma, Hataki kuona wengine wanalia na wengine wanacheka, anahitaji tufurahi kwa pamoja baada ya kazii, Tumpe ushirikiano Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan na tumtie moyo kila wakati bila kusahau kumuombea kila muda ili mwenyezi Mungu Amlinde na kumpigania wakati wote
 
Ndugu yangu mwana nyanda za juu kusini mwenzangu Naomba muangalie mama na muamini, Hana maneno ya kilaghai, Akiahidi anatenda, Akisema anatekeleza, Anazungumza anachomaanisha toka ndani ya moyo wake, mama yetu ana mapenzi mema Sanaa na nchi hii, Ana uchungu na nchi hii, Ana dhamira na Amedhamilia kuinua na kuboresha maisha ya mtanzania, Anajenga uchumi utakao mgusa kila mwananchi bila kuachwa nyuma kwa kundi lolote lile, hata ukimuangalia katika paji la uso wake unatambua Amedhamilia kuijenga Tanzania mpya bila kuumiza mtu, Yupo Tayari kufanya kazi na wote wenye utayari wa kuijenga nchi hii, Hataki kuona mtu yoyote anabaki nyuma, Hataki kuona wengine wanalia na wengine wanacheka, anahitaji tufurahi kwa pamoja baada ya kazii, Tumpe ushirikiano Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan na tumtie moyo kila wakati bila kusahau kumuombea kila muda ili mwenyezi Mungu Amlinde na kumpigania wakati wote
Ulisoma shule gani mlamba asali isiyofundisha alama za uandiaha wa insha?.
 
Angalia hili lilamba asali!
Kama Ni asali kwa Sasa nyanda za juu kusini wanashangilia kutengenezwa asali ambayo sote tutalamba bila kujalishwa upo wapi, maana kilimo Ni uti wa mgongo wa nchi yetu, chakula ndio usalama na Aman ya nchi yetu, huwezi muongoza mwenye njaaa
 
Ndugu zangu ukizungumzia suala la kilimo kwa mikoa ya nyanda za juu kusini ndio pumzi ya wananchi wote, Ndio tegemeo la wote, Ndio uti wa mgongo kwetu, Ndio shine yetu, Ndio mkombozi wetu, Ndio tumaini letu, Ndio maisha yetu, Ndio uhai wetu, hivyo Hali yoyote ikipita na kukwamisha juhudi za kilimo Ni sawa na kutupatia hewa ya Moto ili tuvute, ndugu zangu mwaka Jana wakulima wakipata shida kubwa Sana juu ya Bei ya pembejeo kutokanaa na Bei kubwa ya pembejeo hasa mbolea, Hali hii ilipunguza uzalishaji kutokanaa na kushindwa kumudu Bei, lakini watanzania tuliendelea kuwa na matumaini na mh Rais kutokanaa na maneno yake ya kushugulika suala Hilo, hatimaye Leo mh Rais ameibua shangwe baada ya kutangazwa hadharani juu ya Ruzuku itakayotolewa na Bei zitakavyokuwa kwa msimu huu, hakika mama ameacha shangwe huku mitaaana Ni wimbo wa Mamaa maamaa Mamaa Mamaa maamaa anaupiga mwingi sanaaaaa, Wana nyanda za juu kusini mioyo yao Ni Safi kwa Sasa, wanasema wapo na mama popote Alipo watakuwa Naye, wanasema Huyu mama Ni zawadi kwetu watanzania, Nami nasema mama Ni mpango wa Mungu na Mungu akikuinua hakuna wa kukushusha, mama mama kazi iendeleeee

Hizo sifa za kujinga kwenye kilimo toka enzi za Nyerere zipo sana, lakini wakulima ndio kada masikini sana hapa nchini, na wataendelea kuwa masikini sana pamoja na hizo porojo za mama wa kikojani.
 
Dah,huu mwandiko kweli ni wa NEW MEMBER humu JF!
Lucas mwashambwa ungemshauri Mama yenu kuwa kwanini msijenge kiwanda kikubwwaaa Cha mbolea Nyanda za juu kusini?Kama kweli mna nia ya dhati ya kupunguza gharama za mbolea nchini.

Inashangaza kweli kwa nchi Kama Tanzania yenye wasomi wa kutosha wa Mambo ya kilimo kutoka vyuo vya kuaminika Kama SUA eti mbolea tunaagiza nje ya nchi.

Pia umshauri hiyo mbolea ya ruzuku isigawiwe kwa Makada wa C.C.M tu,ruzuku itolewe Kama ile ya mafuta bila kuandikisha majina😞
 
Ndugu zangu ukizungumzia suala la kilimo kwa mikoa ya nyanda za juu kusini ndio pumzi ya wananchi wote, Ndio tegemeo la wote, Ndio uti wa mgongo kwetu, Ndio shine yetu, Ndio mkombozi wetu, Ndio tumaini letu, Ndio maisha yetu, Ndio uhai wetu, hivyo Hali yoyote ikipita na kukwamisha juhudi za kilimo Ni sawa na kutupatia hewa ya Moto ili tuvute, ndugu zangu mwaka Jana wakulima wakipata shida kubwa Sana juu ya Bei ya pembejeo kutokanaa na Bei kubwa ya pembejeo hasa mbolea, Hali hii ilipunguza uzalishaji kutokanaa na kushindwa kumudu Bei, lakini watanzania tuliendelea kuwa na matumaini na mh Rais kutokanaa na maneno yake ya kushugulika suala Hilo, hatimaye Leo mh Rais ameibua shangwe baada ya kutangazwa hadharani juu ya Ruzuku itakayotolewa na Bei zitakavyokuwa kwa msimu huu, hakika mama ameacha shangwe huku mitaaana Ni wimbo wa Mamaa maamaa Mamaa Mamaa maamaa anaupiga mwingi sanaaaaa, Wana nyanda za juu kusini mioyo yao Ni Safi kwa Sasa, wanasema wapo na mama popote Alipo watakuwa Naye, wanasema Huyu mama Ni zawadi kwetu watanzania, Nami nasema mama Ni mpango wa Mungu na Mungu akikuinua hakuna wa kukushusha, mama mama kazi iendeleeee
Petroli ni zaidi ya shs 3400 na miezi kazaa iliyopita bei ilikuwa shs 1600, yaani zaidi ya 1600 imeongezeka. Tunachotaka Rais Samia apunguze bei ya mafuta, aache kabisa mara moja kumsema vibaya Dkt Magufuli.
 
Back
Top Bottom