Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Dunia ni kama kijiji kwa sasa mambo yote ni kiganjani pako.acha ushamba wewe.Umekuwa MJINGA sana wewe CHOKO,hao Wakenya waliokwambia wanasubiri kwa hamu hotuba umewahoji wapi??
CHOKO kweli weweDunia ni kama kijiji kwa sasa mambo yote ni kiganjani pako.acha ushamba wewe.
Lucas mashamba nakupachika cheo kama KUNGUNI wa mama Samia, Samia Acha sisi chawa tubaki na vyeo hivi hivi. 😀😀😀Ndugu zangu Watanzania,
Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.
Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.
Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,gafla mbalimbali huko Duniani.
Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa analizungumzia maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikanda kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Mimi nawasilisha ukweli tu maana Dunia ipo kiganjani na huko kenya Rais wetu amekuwa ni gumzo.Lucas mashamba nakupachika cheo kama KUNGUNI wa mama Samia, Samia Acha sisi chawa tubaki na vyeo hivi hivi. 😀😀😀
Nionyeshe kwa uthibitisho hayo uyasemayo hapa.
Ajiangalie huyi Maana serikali ya mh Rais haitamuacha salama ,kwa kuwa inahitaji kila kiongozi atoke ofisini kwenda kuwasikiliza watu na kutoa majibu stahikiWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mohamed Mchengerwa Mfuatilie DC wa Wilaya ya Chunya
DC huyu haonekani ofisini, hasikiliza kero za wananchi, Kinyume chake amebadili gia angani sasa ni mchimbaji mdogo na anamiliki maduara na makarasha ya kusaga dhahabu kwenye maeneo ya wachimbaji wadogo na kwenye hifadhi ya misitu TFS.www.jamiiforums.com
Ajiangalie huyi Maana serikali ya mh Rais haitamuacha salama ,kwa kuwa inahitaji kila kiongozi atoke ofisini kwenda kuwasikiliza watu na kutoa majibu stahikiWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mohamed Mchengerwa Mfuatilie DC wa Wilaya ya Chunya
DC huyu haonekani ofisini, hasikiliza kero za wananchi, Kinyume chake amebadili gia angani sasa ni mchimbaji mdogo na anamiliki maduara na makarasha ya kusaga dhahabu kwenye maeneo ya wachimbaji wadogo na kwenye hifadhi ya misitu TFS.www.jamiiforums.com
Kwahiyo hapo mwenyewe unasubiri teuzi sio... fanya yote... jidhalilishe uwezavyo ila tambua juhudi haishindi kudra!Ndugu zangu Watanzania,
Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.
Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.
Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,gafla mbalimbali huko Duniani.
Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa analizungumzia maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikanda kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Hapana ndugu yangu mimi sitafuti uteuzi hapa.Kwahiyo hapo mwenyewe unasubiri teuzi sio... fanya yote... jidhalilishe uwezavyo ila tambua juhudi haishindi kudra!
Juhudi haishindi kudra tambua hilo.Hapana ndugu yangu mimi sitafuti uteuzi hapa.
Dunia kiganjani pako ndugu yangu.Ungefanya utafiti wa kina kabla ya kuandika uzi.
Wakenya hutuna shobo naye kbsa,,, kwanza akijaribu kuhutubia kwa kiswahili ndo kbsa atakuwa ameharibu.
Weka fridge guard.Hali ni ngumu sana mtaani saivi tu umeme umekatika na kuunguza friji langu sijui ntaishije na ndio lilikuwa tegemeo langu. 😭😭 Nimejibana miaka 10 mpaka kununua hili friji sijuwi itakuaje sasa 😭
Acha mawazo ya kitumwa.kiswahili ni lugha inayotambulika maeneo mengi sana hadi na umoja wa Afrika. Kwani mchina akija hapo kwenu huwa anaongea lugha gani? Au mjerumani anaongea kingereza akija hapo? Jiokoe kutoka katika shimo la utumwa kifikraWakenya hutuna shobo naye kbsa,,, kwanza akijaribu kuhutubia kwa kiswahili ndo kbsa atakuwa ameharibu.