Hotuba ya Rais Samia yasubiriwa kwa hamu na Wakenya

Hotuba ya Rais Samia yasubiriwa kwa hamu na Wakenya

Samia mwenyewe akiona hizi sifa ulizompa atakudharau sana
 
Si
Ndugu zangu Watanzania,

Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.

Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.

Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,Hafla mbalimbali huko Duniani.

Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona na kumsikiliza Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa akizungumza maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Si bure, huenda umelalia Mombasa ndo maana unawashwa kila sikum
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.

Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.

Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,Hafla mbalimbali huko Duniani.

Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona na kumsikiliza Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa akizungumza maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Upunguani mwingine mpaka unatia aibu hata kwa watu wengine, ile kujua tu aliyeandika haya ni binadamu anayeamini ana utimamu wa akili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.

Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.

Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,Hafla mbalimbali huko Duniani.

Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona na kumsikiliza Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa akizungumza maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kenya haina wajinga wa hivyo. Usidhani wakenya ni kama sisi tuliolala wa kusubiri porojo za viongozi bila utekelezaji.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko Kenya yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake, watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.

Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia, wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika, Mtetezi wa Afrika, Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.

Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake, ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina , Hafla mbalimbali huko Duniani.

Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa anakizungumza, maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani, utulivu, mshikamano, upendo na umoja. Wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa, ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Dah aisee chawa was mama kweli mnahangaika yaani wakenya walivyo wasubilie bi tozo kwa kweli
 
Acha mawazo ya kitumwa.kiswahili ni lugha inayotambulika maeneo mengi sana hadi na umoja wa Afrika. Kwani mchina akija hapo kwenu huwa anaongea lugha gani? Au mjerumani anaongea kingereza akija hapo? Jiokoe kutoka katika shimo la utumwa kifikra
Kaka niliwahi kukuambia fungua uzi hapa jf umweke huyo rais wako na mtu mdogo tu mwabukusi alafu useme watu pigeni kura 😀 utaona maana hali ya KO
 
Jpm kuna muda alikuwa anazingua sana ila alikuwa na nyota ya kupendwa sana na watu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko Kenya yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake, watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.

Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia, wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika, Mtetezi wa Afrika, Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.

Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake, ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina , Hafla mbalimbali huko Duniani.

Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa anakizungumza, maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani, utulivu, mshikamano, upendo na umoja. Wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa, ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

Hata unye wima hupati teuzi !
 
Kaka niliwahi kukuambia fungua uzi hapa jf umweke huyo rais wako na mtu mdogo tu mwabukusi alafu useme watu pigeni kura 😀 utaona maana hali ya KO
Rais Samia Hawezi kushindanishwa na watu aina ya Mwabukusi.Ndio maana hata CHADEMA wenyewe tu walimtosa kwenye kugombea ubunge Mbeya mjini hadi akaamua kukimbia.sasa mtu huyo unawezaje kumshindanisha na mwamba na mama wa shoka Rais samia?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.

Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.

Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,Hafla mbalimbali huko Duniani.

Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona na kumsikiliza Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa akizungumza maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Mwambie anze kutumbua tumbua tumemisi hayo mambo Kwa Sasa Jiwe alishatuzoesha

Au yeye katika serikali yake hakuna wavivu, wazembe na mafisadi
 
Kenya haina wajinga wa hivyo. Usidhani wakenya ni kama sisi tuliolala wa kusubiri porojo za viongozi bila utekelezaji.
Tindo Rafiki yangu ningependa kukwambia ya kuwa Rais samia ni kipenzi cha wana Afrika mashariki.Ndio Rais anayeheshimika katika ukanda huu wote ambapo uchapa kazi wake umekuwa kivutio cha wengi.
 

Attachments

  • Screenshot_20230905-115301.png
    Screenshot_20230905-115301.png
    22.2 KB · Views: 2
Mwambie anze kutumbua tumbua tumemisi hayo mambo Kwa Sasa Jiwe alishatuzoesha

Au yeye katika serikali yake hakuna wavivu, wazembe na mafisadi
Yeyote atakaye Gusa pesa za umma lazima akione cha mtema kuni .kikubwa unachopaswa kuelewa ni kuwa Rais samia huwa anafanya na kuchukua hatua baada ya kuwa na Taarifa zote mkononi mwake .ni kiongozi ambaye hafanyi vitu kwa mihemuko au kukurupuka. Ni mama mtulivu na mwenye kujuwa nini maana ya uongozi
 
Soma hyo mwashamba ukishindwa bibi yako anaweza just call her akusaidie
Mh Ruto alitetemeka sana Baada ya kishindo cha Rais Samia kutua katika Ardhi yake ,ndio maana akashindwa kuonana na mama wa shoka.
 
Mh Ruto alitetemeka sana Baada ya kishindo cha Rais Samia kutua katika Ardhi yake ,ndio maana akashindwa kuonana na mama wa shoka.
Kula chuma hichoo. Mama alienda holday tu kule wenyewe wanasema 😀😀
 

Attachments

  • Screenshot_20230905-120135.png
    Screenshot_20230905-120135.png
    18.9 KB · Views: 2
Tindo Rafiki yangu ningependa kukwambia ya kuwa Rais samia ni kipenzi cha wana Afrika mashariki.Ndio Rais anayeheshimika katika ukanda huu wote ambapo uchapa kazi wake umekuwa kivutio cha wengi.
Narudia tena, Wakenya hajalogwa na mwenge wa uhuru, hivyo hakuna mkenya ana muda wa kusikiliza porojo zake. Inshort hana jipya atakalowaambia.
 
Badala ya kuweka namba yako ya simu tuwekee picha yako tukutathimin ili tuone jinsi ya kukujibu kulingana na ulivyo
 
Back
Top Bottom