Hotuba ya Rais ya kuvunja Bunge la 11: Ni vitu gani kama vioo vipo mbele ya Mheshimiwa Rais - teleprompter ya kusomea ni nini?

Yeye anaona ila upande wa Audience hamuoni kitu zaidi ya glass tu
Sawa mkuu. Alafu mbona glass katika picha ya Rais Magufuli ipo transparent sana tofauti na glasses katika picha za hao viongozi wengine, ambapo hizo glasses zinaonekana zipo "tinted"?
 
Kwa hakika kwa threads zako na michango yako humu JF sikutegemea kabisa kuwa hujui hiki kifaa ni cha kazi gani mkuu. Anyway, ndiyo kujifunza.
Kuna mambo mengi sana ambayo siyafahamu hapa duniani mkuu. Bado nina safari ndefu sana ya kujifunza kupitia members wa JF kama wewe. Hakika JF ni kisima cha maarifa.
 
Mkuu, mimi ni kijana mmoja wa kawaida sana kaka mkubwa.

Bado sijui mambo mengi sana hapa duniani.

I need to learn from people like you.
kila nikiona Id yako najua mwanausalama kutokana na mada nyingi unazoandika 👉 Jamii intelligence huwa nakufuatilia sana, hicho kioo ndio mara ya kwanza na kiona wadau wamesha kielezea asante kwa kwa kuuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…