Hotuba ya Tundu Lissu Februari 5, 2023 ina viwango vya kimataifa, ina Takwimu na Facts - haina Propaganda!

Hahahaha pro_pesa Kalamaganda Kabugi amjibu TAL?! Wapi na wapi kama sio atatoa mimacho yake kama chura kabanwa na mlango tu na viswahili Uchwara "mia kenda....."!

Sent from my Nokia G21 using JamiiForums mobile app
Hivi Ccm kumebaki na kichwa hata kimoja cha kujibu hoja?
 
Kwahiyo Lisu amekuja Tanzania ametoa hutuba yenye viwango Kisha amerudi kwao si ndiyo

Chadema imeshakufa kifo Cha kawaida
 
Ukifuata mtiririko .. WA pathos , ethos and logos .. hapa bongo kwa Kuwa wengi ni bongolala hata ukihutubia ujinga, uongo, utumbo , matakataka .. mataputapu Ila ufuate mtiririko utawaokota wengi Sana .
 
Mpuuzi huyo siasa ya upinzani ameamua kwake ni kufanya biashara kutumikia mabeberu. Hapo ndio ameona inalipa vizuri. Anasemaga uongo akijiamini kijinga kwamba hakuna wenye akili kumzidi.
Saa hizi amefika njia panda ameona bora awe mkimbizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…