johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Level ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
Kwani kufika chuo kikuu ndio nini!??Level ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀
Hakuna mahali Mwamba Magufuli aliwahi HATA KUFIKIRI kumpa Mropokaji na Mhuni Lissu Utendaji wa Kijiji achilia mbali kuwa Mwanasheria Mkuu. Hizo ni propaganda za kipumbavu kwa watu wapumbavu!Shujaa Magufuli 2020 akiwa Ikungi alikiri mbele ya Wazee wa Lisu kwamba alitamani sana kufanya kazi na kijana Wao lakini alikataa
Leo Tundu Lisu alikuwa anapangikia maneno kama wale Wanasiasa nguli Wabobezi wa Sheria Nchini Kenya Kalonzo Musyoka na Prof Kindiki
Mlale Unono Chadema 😄
Dah huwa namheshimu yule jamaa lakini kwa kauli yake hii nilimuona mdwanzi sanaTukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
Amesomea MIGA huyo, hana kingine anachokijuaLevel ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀
Atakua na elimu ya hapa na pale huyo😂Level ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀
Nadhani hujaelewa maana ya swali 🐼Kwani kufika chuo kikuu ndio nini!??
Wanaoiuza na kuiibia Tanzania asilimia kubwa wamefika chuo kikuuu.
Wanaoimba "mama kafanya hivi,vile, mama mitano tena" wamepita vyuo vikuu.
Huyo anaumwa "Lissuphobia" no matter how well he/she is educated or not.
Ni mwendawazimu tu ndiye anaweza kutilia shaka uwezo mkubwa sana Lissu aliojaliwa na Mwenyezi Mungu mkuu.Hakuna mwanasiasa kama Tundu Lissu nchi hii. Kiwango chake na smartness ni kikubwa sana
Unafuatilia mkataba ya madini lakini kule jikoni au unasubiri propaganda za Tumblr? 🐼Dah huwa namheshimu yule jamaa lakini kwa kauli yake hii nilimuona mdwanzi sana
Kwa wajinga sawa. Kama Mbowe aliyemleta Lissu Chadema aliona HAFAI wewe ni nani kuamini anafaa?Hakuna mwanasiasa kama Tundu Lissu nchi hii. Kiwango chake na smartness ni kikubwa sana
Leo naona mmekuja na "full swing".Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
Lissu na Samia nani smart kichwani?Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake