Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,045
- 2,975
Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake😅😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake😅😅😅😅
Mkuu, umeacha vikombe vyako vya kuuzia kahawa, naona umetokomea na birika tuShujaa Magufuli 2020 akiwa Ikungi alikiri mbele ya Wazee wa Lisu kwamba alitamani sana kufanya kazi na kijana Wao lakini alikataa
Leo Tundu Lisu alikuwa anapangikia maneno kama wale Wanasiasa nguli Wabobezi wa Sheria Nchini Kenya Kalonzo Musyoka na Prof Kindiki
Mlale Unono Chadema 😄
Tatizo Unaongea mambo ambayo huyafatiliiHakuna mahali Mwamba Magufuli aliwahi HATA KUFIKIRI kumpa Mropokaji na Mhuni Lissu Utendaji wa Kijiji achilia mbali kuwa Mwanasheria Mkuu. Hizo ni propaganda za kipumbavu kwa watu wapumbavu!
Subiri waje......uzuri hata bi mkubwa anajya TL ni machine kuuuubwass sanaaa....Saa 100 ni sawa kina Fatuma Mwasa na Mjema kina Sophia Simba period.....Mhagama weeeeeeweeeLissu na Samia nani smart kichwani?
Utakuwa mgeni hapa nchini.Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
Mamaaa mbavu zangu weeeHuyo Babu Gombe ni mzimu kaja kufanya biashara CCM Tenda zote za uchaguzi atampa mwanae
Unaweza kushindana nae? Mlitaka kumuua kisa kutomshinda.Kwa wajinga sawa. Kama Mbowe aliyemleta Lissu Chadema aliona HAFAI wewe ni nani kuamini anafaa?
Na kumchukia kwako ila huna uwezo hata wa kumkaribia ndio maana mnashindwa kujibu hoja zake badala yake mnakimbilia policcm na kutaka kumuua.Inawezekana mwezi hauko kona ndiyo maana. Subiri mwezi ukiwa kona ndiyo utamjua tundu lisu halisi ni nani!
Mbowe anafaa? Yupo wapi?Kwa wajinga sawa. Kama Mbowe aliyemleta Lissu Chadema aliona HAFAI wewe ni nani kuamini anafaa?
Fanyia lamination hayo maneno uyatundike sebuleni kwenu kwa manufaa ya taifa.Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
fahamu ukweli kidogo, changanya na uwongo ili wajinga wakuamini.Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.
Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
Hakungsomi wa chuo kikuu humo!Level ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀
Tupe CV ya huyo Mbowe aliyeona Lisu Hafai 😄Kwa wajinga sawa. Kama Mbowe aliyemleta Lissu Chadema aliona HAFAI wewe ni nani kuamini anafaa?
Kwahiyo wewe unayepinga ndio alikuwa anakushirikisha kwenye mipango yake? KUMBAVU!Wewe mwenyewe mpumbavu mhuni muongo tokea lini magufuli akushirikishe kwenye mambo yake? Kwa Tabia zako za kishamba isingekuwa rahisi ujue mipango ya magufuli acha kujidai una Akili wakati kichwani umebakiza ubongo wa kufanyia uchawa pekee
Kwahiyo kusema, "Kuna kazi nitampa" ndio Uwanasheria Mkuu?Tatizo Unaongea mambo ambayo huyafatilii
Rejea kampeni za Magufuli 2020 akiwa Singida akiomba wanasingida wampugie kura, Alisema kuna mtoto wenu anataka urais mwambieni aache, Kuna kazi nitampa hii alisema hazarani na iko on record
Yale walioongea sirini hatuwezi kujua
He's just a bug.Unaweza kushindana nae? Mlitaka kumuua kisa kutomshinda.
Uchawa,Classmate wa MwijakuLevel ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀
Swali gumu hilo.Level ya Chuo kikuu umesomea Kitu gani? 😀
He's just a bug.
Wewe unani?He's just a bug.