Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Warioba anaanza kuhutubia huku Wabunge wote wakipiga makofi kumshangilia. Ni tofauti na makofi ya jana ya kuzomea
 
Ukumbi umetulia sasa, mzee Warioba anaendelea kuwasilisha.
 
Warioba sasa!!

Eti jamani hiyo rasimu si kila mjumbe anayo,

Angesema nawasilisha rasimu kila mtu akasome getho kwake,ratiba zingine ziendelee.

Tuokoe muda.
 
Chabruma kama unazo nyaraka hizi tafadhali tuwekee hapa ili twende sambamba na bunge:
1. Kanuni za bunge maalum
2. Hotuba ya Warioba
 
Last edited by a moderator:
Warioba ameweka orodha kibao ya nyarakq walizorumia hadi kuandaa rasimu ya Katiba. Sasa anampongeza Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum kwa kuchaguliwa kwao
 
Warioba ameweka orodha kibao ya nyarakq walizorumia hadi kuandaa rasimu ya Katiba. Sasa anampongeza Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum kwa kuchaguliwa kwao

asante mkuu!! tuko pamoja sana!!!
 
Chabruma kama unazo nyaraka hizi tafadhali tuwekee hapa ili twende sambamba na bunge:
1. Kanuni za bunge maalum
2. Hotuba ya Warioba
Mkuu, nimefanikiwa kupata nakala ya Kanuni za Rasimu zikiwa kwenye hard Copy. Nafuatilia kupata softy copy. Kuhusu hotuba ya Warioba, ilikuwa ni kwamba niliisaka tangu jana lakini imekuwa adimu. Nadhani kwa vile ilikuwa haijawasilishwa. Hata wabunge hawana nakala za hotuba hii. Ila tunawasiliana na wadau wengine tuweze kuiweka humu
 
Tume inawashukuru wananchi kutoa maoni yao kwa uhuru na uwazi.
 
Chabruma tafadhali, ufafanuzi juu ya hoja ilopelekea Jana kukosa maelewano adi kuahirisha shughuli za bunge imekuwaje. bla mabadiliko. juu ya hoja iliyoibuliwa Jana. Leo utaratibu unaendlea vle2 KA ilivotakiwa Jana iwe?!!!!!!

Majibu tafadhaliiii...
 
Kwa anayejua kama kuna TV/Radio online.inayoonyesha Bunge msaada.
 
Back
Top Bottom