Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Kwa matazamo wangu sidhani kama watanzania waliowengi wanaafiki suala la muundo wa serikali tatu eti kwasababu mwenyekiti wa tume amesema. Sidhani kama takribani watu 16,000 elfu wanaweza kubeba haki za watanzania walio wengi?????
Mwanangu Derrick naomba ulete madaftari yako ya jiografia kidato cha tatu kuna topic moja ninakumbuka ya RESEARCH hapa jf kuna watu hawafahamu haya mambo ya sampling! Pambaaaaf kabisa!, Einstein.JPG
 
Wanajamvi kama tulivyokuwa wezenu wengine tulivyokuwa tunasema katiba ya zanzibar kama tunataka kuweka muungano hakuna budi kufumuliwa upya ili iwe chini ya katiba ya muungano. Maana kwa sasa iko juu ya muungano na imechukua mamlaka ya muungano kitu ambacho hakiwezi kuvumiliwa Jaji Sinde Warioba amepasua jipu penda msipende ni lazima katiba ya zanzibar irekebishwe na kama hawataki kurekebisha waseme wanataka nini?.

Lingine ni vigumu kipande kimoja cha muungano kijiite nchi alafu kingine ipoteze hadhi yake. Hapo ndipo Tanganyika inaposimama taratibu. Warioba hakunapindisha maneno alisema kile ambacho watu wengi wanaogopa kwamba tanganyika kuwepo haiepukiki kwa kuwa zanzibar inajiita nchi basi tanganyika ni lazima iitwe nchi.
 
Hivi unajuwa kinacho ongelewa ktk serikali tatu faida zake na hata hasara zake then ukapima na kuweka uwiano na serikali mbili au moja?? Ujuwe serikali inayo ongoza nchi mbili na zenye watu wenye utash tofaut siyo ukafananisha sawa na Baba mwenye familia anavyo iyongoza familia yake.
 
Akiwasilisha hotuba katika bunge la katiba mh warioba alisema wamepokea maoni toka ofice ya waziri mkuu,makamo wa rais office,baraza la wawakilishi na bunge la jamhuri ya muungano ambayo yote yamependekeza mfumo wa serikali 3 ili kudumisha muungano,warioba amesema mapendekezo yao hayakuwa wazi ila ukisoma utaona wametaka 3gvnt maana kuna mahali ofice ya waziri mkuu wamependekeza waziri mkuu tanganyika,znz waziri mkuu na rais mmoja wa muungano,je hapa sio 3gvnt?
 
Hapa ndipo unapogundua unafiki, uzandiki na undumilakuwili wa magamba....magamba wana tabia kama za panya.....wanang'ata na kupuliza!
 
- ha! ha! ha! ha! wewe unanivunja mbavu! ha! ha!

Le Mutuz

Hivi The Mutuz, ccm inatetea mawazo ya akina nani? Maana watz waliotoa maoni kuhusu muungano asilimia 60 wanataka serikali 3! Sasa nyinyi mnatoa wapi hayo mamlaka ya kulazimisha serikali 2? Mh makamba kasema kwenye tweet acc yake kuwa ccm watatumia wingi wao kupitisha serikali 2.
 
''189. Hata tulipopata matatizo ya kufikia uamuzi kwa suala lolote hatukukimbilia kupiga kura. Tulijifungia kwenye vikundi vya watu wenye mawazo kinzani na mwisho tukafikia maridhiano na muafaka. Dira yetu ilikuwa Maslahi ya Taifa. Hatukupiga kura hata mara moja kwa jambo lolote wala kuwa na mawazo mbadala. Kila Ibara iliyomo kwenye Rasimu ya Katiba ambayo ninaiwasilisha katika Bunge Maalum la Katiba, inaungwa mkono na kila mmoja wetu.''
 
Mzee huyu alisifiwa sana na ccm kabla hajaweka wazi msimamo wa wadau wengi kuwa wanataka serikali 3,leo kawa adui mpk katengwa na jamii yanaccm ila watanzania bado tunamthamini na kumpa heshima za kipekee.

Mda mwingine unatamani rais wa nchi hii awe kama warioba,mtu anaethamini mawazo ta watanzani zaidi kuliko mawazo ya chama,watu wazima wenzangu tuigeni hekima hizi
 
hawa wana kiapo cha kulipoteza taifa hili

Bora wapinzani tunajua hawaaminiani na hilo tunaliona wazi, sasa ccm mkiwa chemba mnataka serikali tatu but kwenye media mnataka serikali mbili sasa tutawaelewa vipi? Hapo kuna kuaminiana kweli? Hivi kaka serikali ya tanganyika iko wapi? Katiba yake iko wapi? Na mamlaka yake ndani ya muungano ni yapi? Ebu angalia zanzibar wana katiba yao,nk! Je kwanini tusidai serikali ya tanganyika?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Mzee huyu alisifiwa sana na ccm kabla hajaweka wazi msimamo wa wadau wengi kuwa wanataka serikali 3,leo kawa adui mpk katengwa na jamii yanaccm ila watanzania bado tunamthamini na kumpa heshima za kipekee.

Mda mwingine unatamani rais wa nchi hii awe kama warioba,mtu anaethamini mawazo ta watanzani zaidi kuliko mawazo ya chama,watu wazima wenzangu tuigeni hekima hizi

usiombe kudharauliwa na CCM
 
Sifa zote anastahiki Mh. Jakaya Kikwete kwa kuteua watu werevu japo mwanzoni watu walimkebehi na kumkejeli Mh. Rais wetu. Jakaya hata wakikubeza Mdomoni, mioyo yao itakubali kazi ya Mikono na Maarifa yako. Tume hii ya Warioba ni Zao la akili ya Dkt Jakaya.
 
Sasa jana walikataa nini na leo wanakubali nini!!

Ujumbe wao Mimi niliuelewa kiongozi maana walitaka umma ujue kanuni zimekiukwa.pia muda usingetosha mkuu kwa Warioba kuhutubia dk 120 lakini unaona leo kaongea kwa Uhuru takribani dk.240.
 
Back
Top Bottom