Hotuba yangu kwenye Kongamano la Katiba Day

Lile lilikuwa Kongamano la wahuni
 
Ccm njoooo, mjivunze Mambo ,watapita Kama vile awajaona, 😃
 

Naunga mkono hoja. Ila ni muhimu kutambua makundi mawili katika wanaobeza jitihada hizi:

1. Wasiokuwa na uelewa ambao kuwapa elimu ni muhimu.
2. Wanufaika wa mfumo uliopo ambao kuwapa elimu au kurumbana nao ni kupoteza muda.

Kundi #2 wamo kina Elitwege Wakudadavuwa Magonjwa Mtambuka na wenzao.


Au nasema uongo ndugu zangu kina johnthebaptist Salary Slip technically na wazalendo wenzangu?
 
Hivi Tume ya Warioba ilichaguliwa na nani vile?
 
Na CCM wanakatalia katiba ya zamani ili wapate fever
 
Kichaa sio aliyelala juu ya mawe?
Chadema VICHAA, MWENYEKITI MAKENGEZA, SHULE HANA, UCHAGA PARTY, NYUMBU, MNAGEUZW TU KAMA MAFALA HIVI. sasa huyo Yericko si K kama maK WENGINE afu nae anapewa platform. CDM ina mafala wengi sana eti hadi yule BOYA ambale tulimzamisha gunzi kule sero MDUDE nae amepewa nafasi ya kuzungumza. Hahahahahahahaha dah hii nchi tamu kweli. Sasa jaribuni kuandama kama hatujawaf.i.l.a mchana mbuzi anakula majani.
 

DUH! KUMBE SOMA ULICHOANDIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…