Acheni utani Tundu Lissu anatisha. Ni nani ashawahi kuchukua Mic na kusema hadharani tena zaidi ya mara moja kuwa "Magufuli asituone wajinga" isipokuwa Lissu? Nani ashawahi kusema hadharani kuwa Magufuli ni mbinafsi na kajenga uwanja wa ndege kijijini kwakwe na kufuga wanyama pori kwake isipokuwa Lissu? ( naamanisha hadharani na sio bungeni wala kwenye mitandao. Lissu akiongea tu mara moja TCRA, Abbas, Msigwa, Polepole, Kichaa Musiba, TBC, wakuu wote mikoa na wilaya pomoja na Kafulila (Tumbili) wanahaha kujibu lakini mwisho wa siku wooote wanajikuta wametofautiana. Yaani wanachanganyikiwa wanakurupuka tu.